Legal Assistance to Widows and Orphans Advocacy Project
On behalf of Legal Assistance to widows and orphans, I humbly appreciate your intent to work in our upcoming project in Tanzania as widows and orphans Advocacy Officers. I hereby inform you that you have successfully passed our first...
jamani hivi huyu Anthony msigwa ni nani?
maana niliomba kazi ya widow and orphan advocacy nimetumiwa mail Leo nimepewa maelekezo mengi lakini pia nimeambiwa nitume pesa elfu hamsini na moja na mia tano kwenye number ya airtel anayotumia huyo Anthony msigwa sasa Nina mashaka kama kuna MTU...
huyo anayejiita Mr. Vicent hata Mimi kashanitumia sms akaniambia yupo kwenye panel nimtumie elfu 45 eti anipe majibu ya interview alafu nikianza kazi nimpe laki tatu kutoka kwenye mshahara wangu hata cjamjibu
Habari wa jamii,
Mimi kuna ndoto inanisumbua imekuwa ikijirudia na nikama kamuendelezo fulani hivi:
Naota nimeolewa na mtoto mdogo kabisa au mara nyingine naota nipo kwenye mahaba na mtoto mdogo.Sasa sijui hii ndoto inaashiria nini maana nimeshindwa kuielewa.
Naomba tafadhali anaejua...
hata mimi zamani nilipokuwa mdogo nilikuwa nikijiuliza hilo swali lakini sikuwahi kupata jibu.
mbaka nikajiuliza kwanini nimezaliwa, kwanini asingezaliwa mtu mwingine badala yangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.