Recent content by Kariobangi

  1. Kariobangi

    Iweje misikiti ijengwe kwenye maeneo ya serikali?

    Kwa Hiyo Ule msikiti uliokuwepo haukuwa kwenye masterplan Pumbavu
  2. Kariobangi

    Zitto Kabwe: Iundwe Kampuni ya Uendeshaji wa Bandari, TPA na DP World ziwe na Umiliki Sawa (50/50), Azimio sio Mkataba wa Uendeshaji

    Wewe hujui Tofauti Ya muislam na mswahili wacha nikuache na ujuha wako Period
  3. Kariobangi

    Stendi mpya ya mabasi Nyegezi yaanza kazi, ni zaidi ya Airport

    Mbona wa siku nyingi huo Nenda babati utaukuta
  4. Kariobangi

    Umewahi tembea umbali gani mrefu kwa miguu ndani ya jiji la Dar es Salaam?

    Safari za Ubungo nhc to kariakoo via makanya street tandale tumezifanya.sana kwenda na kurudi ukiacha zile za Ubungo to Muhimbili Via morogoro road Kali kuliko zote ni ile ya mwaka majuzi nipo kibada kigamboni nasubiri daladala za kongowe niunganishe mpaka rangi tatu kukuta daraja La mto mzinga...
  5. Kariobangi

    Umewahi tembea umbali gani mrefu kwa miguu ndani ya jiji la Dar es Salaam?

    Hakuna umbali wowote hapo watu kutoka Ubungo nhc mpaka kariakoo via makanya tumetembea sana
  6. Kariobangi

    Adhabu ya kifo ni adhabu ya kikatili inayokiuka Haki ya Mtu ya kuishi

    Huwezi kumuelewa Huyo hajui anenalo Kifupi ni mropokaji
  7. Kariobangi

    Adhabu ya kifo ni adhabu ya kikatili inayokiuka Haki ya Mtu ya kuishi

    Kwa hiyo hizo nyingine za wabakaji na wezi anatoa Nani
  8. Kariobangi

    Adhabu ya kifo ni adhabu ya kikatili inayokiuka Haki ya Mtu ya kuishi

    Kuua au kuuliwa Kweli Kosa Vyote Ila sio akili
  9. Kariobangi

    Mjamzito achomwa kisu mara tano, amtuhumu mzazi mwenzake baada ya kumgomea kulala nae

    Anaelekea au tayari ni mama. Soma vizuri habari Huyo ni wa pili akijifungua
  10. Kariobangi

    Mjamzito achomwa kisu mara tano, amtuhumu mzazi mwenzake baada ya kumgomea kulala nae

    Sio Sio kupewa ujauzito tu bali amekwishazaa na huyo jamaa na waliokuwa wakiishi pamoja Sasa sijui alikuwa na miaka kumi na tano wakati huo. Kwa kweli tatizo ni kubwa Sana na hakuna anayejali
  11. Kariobangi

    Video: Wanawake Wakenya walivyokinukisha uarabuni

    Huo sio uanaume Wala ujanja kudhalilisha na kutweza ni dalili za ushamba na uoga Kuwa kiakili na kimaarifa sio kimaumbile tu
  12. Kariobangi

    Video: Wanawake Wakenya walivyokinukisha uarabuni

    Uwe na heshima bhasi hata kwa wasiokuhusu Huo ni udhalilishaji wa kijinsia kumbuka hata wewe pia umezaliwa na mwanamke Usisahau ulipotoka ukakejeli na kutweza.
  13. Kariobangi

    Video: Wanawake Wakenya walivyokinukisha uarabuni

    Huyo Kafir Hana hoja ya kuthibitisha zaidi ya chuki za kishaytwaan
Back
Top Bottom