pole sana mkuu lakin akirud kwako kutaka msaada yan wew ni st***id a***s nigger whom your being used as ladder kumnufaisha yeye na unayesema ni chaguo lake hujafikia mseee baba embu amka kwanza mkuu tukafanye kaz kwa bidiiiii
Hii kitu hutokea san wanaume tukikuwa mby hata wenzi unamkimbia ishanitokea shaur mambo yake kun mda akil haifany kaz unawaz nifanyaje nipate ela kustahimil unakutan na msg ya demu anakuliza unafanyaje mbon kimya uko na michepuko yako [emoji16][emoji1787]
anza kwa kutoa ile domain blogger kisha nunua hosting plan yako comfigure wp yako kule kenye cpanel chagua free themes nenda bloggler download post zako zote kuja wp ina zi import kaz imeisha
mzeee wew ni nyoma 2013 ujalamba unaleta ukorea kwa hawa wanyaturu utakoma mzito uwe unaenda ata bar sometime uone izo 20 mpk 70 zilivyo mingi unakula mziki chakula na kinywaj juu roho inakuwa nyeupe unampa mtu lakin anakuletea upedi pedi apa sheenzi kbs
nimesem ni wew...Labda mm sijui lakin all i know mzan lazma ubalance sawa namhudumia ila anachonisaidia nin pachuchi only man vingine kam kunicrush & Being controlled awez kuwa postive kwangu? yes i work hard sina mda sometime napitiwa kufua kuosha vyomb friji chafu labda kutandika kitanda...
hii Idea nayo nzuri mkuu mana siku biashara inaeza isiende vzr akaniambia nimlipie kod ya iyo chumba sijui kuna wateja sina cash naomb umeme ichi kitu nimeshakisi sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.