Kuhusu masheikh na babu seya ndio Kasema atawashughulikia na atawatoa... Kwa upeo wa haraka hawakustahili kuwapo kule walipo sasa... Tumia akili unapotoa post usiwe wakurupuka kama Mkapa
Jamaa tajiri long time ago... Nyerere alikua analijua hilo.... Na wengi wao CCM hawampendi kwaajili ya chapaa zake.... Lowasa ananuka pesa kuanzia unyayo mpaka kichwani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.