Recent content by karim mikidadi

  1. K

    TCRA mpo? Naomba ufafanuzi kuhusu kipande kilichorushwa na Star Tv mara tu baada ya habari

    Lowasa anachafuliwa kweli kweli ila ndo hivo nyota ake inan'gara
  2. K

    Lowassa akichaguliwa, atarudi CCM Oktoba!

    Hamtuvurugi hata kidogo... Tutawajibu October 25
  3. K

    Mkutano wa Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA, Edward Lowassa kutoka Songea

    Labda sio lowasa..... Yule ni shujaa wanavyozidi kumchafua ndio nyota ake inan'gara kama nyota ya Jah
  4. K

    GE2015 Mawaziri wa Magufuli endapo atashinda Urais

    Lowasa anakosi makini mno
  5. K

    Nimepata picha, kwanini CCM ilimtosa Sumaye kwa miaka 10

    Chama sio mungu... Jitambue kwanza usikurupuke kutoa post
  6. K

    Lowassa kadharau Mahakama, polisi na wapenda amani wote

    CCM wanahema tu... Wameushiwa hoja
  7. K

    Kutoka Jangwani: Uzinduzi wa Kampeni za Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) - Agosti 29, 2015

    Kuhusu masheikh na babu seya ndio Kasema atawashughulikia na atawatoa... Kwa upeo wa haraka hawakustahili kuwapo kule walipo sasa... Tumia akili unapotoa post usiwe wakurupuka kama Mkapa
  8. K

    Kutoka Jangwani: Uzinduzi wa Kampeni za Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) - Agosti 29, 2015

    Kua na akili ww... Kwanza hakutamka kama atamleta balali... Jitambue ww
  9. K

    Mh. John Magufuli akipokea Malundo ya Kadi za CHADEMA baada ya kuisambaratisha UKAWA

    Jipeni moyo tu.... CCM mmeishiwa sera... Utumbo wenu uleule wa Jakaya
  10. K

    Kiwanda cha General Tyre cha Arusha kufunguliwa

    Lowasa kidume nyie acheni tu.... Afu yupo siriaz lazima CCM watafutane
  11. K

    Lowassa kutumia mbinu zilizompa ushindi Uhuru Kenyatta

    Jamaa tajiri long time ago... Nyerere alikua analijua hilo.... Na wengi wao CCM hawampendi kwaajili ya chapaa zake.... Lowasa ananuka pesa kuanzia unyayo mpaka kichwani
Back
Top Bottom