Shutikali - Tovuti ya Habari na Taarifa za Michezo Tanzania ni tovuti inayoleta mageuzi kwenye kutoa taarifa za michezo,wanamichezo pamoja na timu zao,shutikali ina team ambayo imebobea kwenye kutoa taarifa za michezo.
wafuatilie shutikali kwenye mitandao ya kijamiii
facebook: Shutikali
twitter...
Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Alfred Lucas amezungumzia juu ya maandalizi ya mchezo wa Taifa Stars dhidi ya Lesotho utakaochezwa Jumamosi hii. Lucas amefafanua kuhusu kuwasili kwa wachezaji wa Lesotho wanaoingia jioni ya leo Alhamisi, pamoja na wachezaji wa Stars ambao...
Dakika ya 15: Beki wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ anawalalamikia wenzake kutokana na kufanya makosa. BONYEZA LINK YA BLUE KUFUATILIA MTANANGE HUU: YANGA 0-0 TUSKER ‘LIVE’ KIPINDI CHA KWANZA, SPORTPESA SUPER CUP, UWANJA WA UHURU
Michuano ya SportPesa Super Cup inatarajiwa kuanza Jumatatu ya Juni 4, kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam kwa michezo miwili kuchezwa, Yanga inatarajiwa kuwa na wachezaji watatu wapya
Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) limetoka viwango vipya vya ubora wa soka duniani ambapo Tanzania imeshuka kwa nafasi nne.
Katika orodha hiyo ya viwango iliyotolewa leo Juni mosi, Tanzania sasa inashika nafasi ya 139, wakati nchi nyingi za Afrika Mashabiki, Kenya inashika nafai ya 74...
Licha ya kushika nafasi ya sita katika Premier League msimu wa 2016/17, Manchester United imetajwa kuwa ndiyo klabu yenye thamani kubwa zaidi Ulaya ikiifunika Real Madrid.
Utafiti uliofanywa na taasisi ya KPMG imeonyesha kuwa Man United imekuwa na mafanikio makubwa kifedha zaidi ya Real Madrid...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.