Njia pekee ya kupunguza uzito ni kupunguza kula (Food Intake), au kula kulingana na kazi unazofanya. Kama ulikua unafukia maugali, mawali na machips bila kushughulisha mwili. Punguza na anza kula vyakula vyepesi. Pia punguza vinywaji vikali au baridi. Au jiwekee utaratibu wa kufunga mara kadhaa...
Ushauri wangu; usitumie njia za mkato za kupunguza unene kwani zitakuletea matatizo. bali zingatia ratiba ya mlo kwa kufunga au kupunguza kiwango Cha chakula unachokula;
Hali Ipo hivi; Mtu anaponenepa Ina maana mafuta yamezidi mwilini, yanayotokana na kiasi Cha wanga kilichozidi mwilini ambacho...
Nakubaliana na wewe mkuu, huo ndio uhalisia wao. Sisi waafrika; Siri ya mali anaijua baba pekee au mama. Wenzetu wahindi na waarabu; Siri ya mali hujukikana kwa wanafamilia wote, ndio maana hawafirisiki.
Ushauri mzuri Sana kwa jamaa....Ni kweli usimuache huyo mwanamke...mpende, muheshimu. Ukiona Mambo yanakwenda vizuri ujue nyota zenu zinaendana. Kuna wanawake wengine ukiwa nao Mambo hayaendi, ukiona hivyo ujue nyota zenu haziendani.
Jamani, Mimi kwa uelewa wangu mdogo bei ya bidhaa husika inategemea mahitaji (demand) na Uzalishaji au usambazaji wake (Supply). Kadri aina fulani ya bidhaa inavyozidi kua nyingi ndivyo bei hiyo ya bidhaa inavyozidi kushuka na vilevile bidhaa hiyo inavyozidi kuadimika sokoni ndivyo jinsi inavyo...
Duh pole sana, kwa Sasa imefikia steji ya Sodoma na Gomora. Cha msingi tupige magoti tumuombe mungu, ili dhambi hii isiendelee kutawala kwa watoto wetu. Pia watoto wetu tuwe nao wakati wote tuepuke Sana kuwapeleka watoto wadogo kwenye shule za boarding na hizi day care, ndo wanaharibiwa huko...
Habarini wan JF,
Hakika tekinolojia imekuwa sana. Huu mfumo wa akili bandia (Artifial intelligence) uliotengenezwa na Microsoft (Chat GPT) uko very clear. Nimekuwa nikiutumia Mara nyingi Sana. Sasa leo nikajaribu kuuliza iniandikie nyimbo kuhusiana na Rais wetu mpendwa Marehemu John Pombe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.