kupewa misaada na waoman kwani kunatatizo gani? na sifikirii kama kuna mzenji hata mmoja atakae kukumbukeni kwa
jema isipokua kwa ujambazi na kutuzalilisha.
Tuna Zenji yetu? sifikiri kama tunayo,maana tungekua nayo tusingali ruhusu makanisa 200 kujengwa kwa kipindi cha miaka 10 kama ilivyo sasa, nahiyo Tanganyika yako inayokuuma tutakurejeshe wakati muafa ukifika,and soon.
,
Sisi ndio hatukupendeni nyinyi,tunataka kama leo mvunje huo muungano maana nyinyi ndio mloshika mpini sisi tuna
makali,hebu vunjeni muone kama tutakupapatikieni sisi.majambazi
Mtanganyika tuomberazi, vikundi vya kihuni munavyo nyinyi huko {mafisadi},na hicho kikundi cha muamsho kimetumwa na sisi Wananzibari tulio wengi tusiopenda muungano unaokufaidisheni nyinyi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.