Nadhani kuna haja ya vyama pinzani kujifunza sana kutokaa kwa chama tawalaa ili wawe na mafanikio makubwa mbeleni.
Mfano, nimekutana na wamama wa hali ya chini kabisa wanakimbia wakiwahi mkutano wa chama huku wameshika bendera, nadhani achilia mbali msukumo wanaoupataa kutokaa kwa viongoz wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.