Recent content by KAPOLE

  1. K

    Mama Rwakatare kupiga makofi bungeni kuunga mkono ya msaliti auawe kunatufundisha nini?

    Huyu sio nabii ni Mchungaji Sent using Jamii Forums mobile app
  2. K

    Pendekezo: Kiswahili kitumike kama lugha ya kufundishia ngazi zote za elimu, ili tukomboke kifikra

    Unawafundishia kiswahili alafu baada hapo utawatumiaje wakati huna teknolojia Sent using Jamii Forums mobile app
  3. K

    Uchaguzi 2015 utaisha salama?

    Sijapata haki ya kupata habari umeme hamna
  4. K

    Watangaza nia walishiriki vipi mchakato wa Katiba mpya?

    Wananchi waliandaa rasimu yao kupitia Warioba itakayo jibu mapungufu yote watiania wanayoorodhesha. Je ? watia nia waliopinga rasimu ya Warioba watayaondaje hayo mapungufu bila rasimu ya wananchi?
  5. K

    Mbowe: Lowassa ni dhaifu, ni bubu

    Nani alijitoa kwenye serikali na kwenda kwenye media na kusema mimi najiuzulu nafasi yangu ndani ya serikali hii kwani siwezi kuwa sehemu yake kwa ufisad huu. Aidha wa escrow au wowote ili sasa aje nasi tujue huyu si sehemu ya uchafu
  6. K

    Mbowe: Lowassa ni dhaifu, ni bubu

    Lowasa anaitwa fisadi ,mimi sikatai ila shida ni wale wanaomwita fisadi ,wao ni akina nani kama yeye ni fisadi. Naomba mtu mmoja mwenye kumbukumbu nzuri aorodheshe matukio ya ufisadi ya kutisha baada ya Lowasa kujiuzulu na tuone ni nani hakuwa ndani ya serikali au bunge anaegombea uraisi. Na...
  7. K

    Kwa hili la kupinga matumizi ya Kiswahili kama lugha ya kufundishia Kapuya aungwe mkono!

    Umoja wa watanzania ni kiswahili na umaskini wa mtanzania ni kiswahili
  8. K

    Leo ndio nimejua nyumba na gari bora kipi?

    Watu wengi waoga wasiojiamini wasio na mikakati wanaoishi mijini pesa yao ya mwanzoni hawathubutu kununua gari hukimbilia kujenga. Wazo huonekana zuri kwa watu wengine wa aina yake
  9. K

    Je, ni kweli wanawake wa kawaida ndio wanaodumu zaidi kwenye ndoa kuliko wale warembo?

    Ndoa ni chache sana duniani na wakati mwingine kuiona ndoa ni nadra sana, wengi wanaishi pamoja kama wazazi. Kiuhalisia mmoja akishatoka nje ya ndoa hakuna ndoa tena .
  10. K

    Je, ni kweli wanawake wa kawaida ndio wanaodumu zaidi kwenye ndoa kuliko wale warembo?

    Watu wengi waliotumia akili zao kwa umaarufu wao ili kutatua mambo ya ndoa waliangukia aibu. Watu wengi wenye kila kitu wana shida kwenye ndoa. Na wengine wengi hata na baaadhi ya wasanii wa kibongo uzao kwao ni shida kwa sababu ni mambo ya rohoni
  11. K

    Je, ni kweli wanawake wa kawaida ndio wanaodumu zaidi kwenye ndoa kuliko wale warembo?

    Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili.. Hivyo mtu anaweza kuwa profesa na bado ndoa ikawa shida kwa kuwa utatuzi wake hawiitaji ushauri bali ni vita kiroho lazima urudi rohoni
  12. K

    Je, ni kweli wanawake wa kawaida ndio wanaodumu zaidi kwenye ndoa kuliko wale warembo?

    Jiulize wakati wanawake wa kawaida wanaolewa kila siku .Wazuri wanagombania waume za watu na kunengua majukwaani na kuuza bar. Wengi shetani amesha wawahi mapema tangu wakiwa watoto.
  13. K

    Je, ni kweli wanawake wa kawaida ndio wanaodumu zaidi kwenye ndoa kuliko wale warembo?

    Wazuri wengi tayari wameshaolewa katika ulimwengu wa roho na majini. Hivyo kuna kuwepo na vita ya kumgombania huyo mkeo kati yako na anaezini na mkeo kwenye ndoto. Tena huyo wa ndotoni hufanya vizuri kuliko wewe.
  14. K

    Benki zinazolipa vizuri na Benki zinazolipa vibaya wafanyakazi wake nchini Tanzania

    Changmoto kubwa kwa stuff wa bank zetu ni makazi. Bank zingewapa silimia 80 ya kodi ya pango kwa kiwango cha kodi cha mahali husika. Ni maoni yangu kwa ninavyoona hawana hela na kwa kazi yao sio vizuri kuishi uswahilini
  15. K

    Mchungaji Lusekelo anawaponda Mitume na Manabii feki Channel 10

    Huwezi kuwaona Manabii kwenye matamko ya pamoja labda awe siyo. Nabii hawezi kaa na kikundi kwani mtakacho amua nyie kinaweza kuwa tofauti na anavyoona katika mapenzi ya Mungu kwenye jambo husika.
Back
Top Bottom