Recent content by Kapo

  1. K

    Kichaa mmoja, anaweweseka sana juu ya Zitto, kamtungia uongo, umebuma, Zitto tuko nae hapa Dodoma

    Write your reply...Pascal Mayalla jamaa naona na wewe alikuchafua kwenye kipeperushi chake vip ulimkosea nini
  2. K

    GE2020 Hivi kwa mfano mwaka 2020 ikiwa hivi itakuwaje?

    Unamzungumzia huyu Jafo aliyeonyeshwa pipe culvert sehemu ya kujenga box culvert Barbara ya Sabasaba to Buswelu Mwanza au Jafo mwingine na aliyeshindwa kujua kuwa wachina wanapiga wafanyakazi na kuwatukana
  3. K

    Blog ambazo zinaongoza kuua mpira wa tanzania

    Shaffih dauda anaongoza kuwapamba wakongo
  4. K

    Momba: Wananchi wavunja Daraja chakavu

    Write your reply...Ni hatari sana.
  5. K

    Waziri Mkuu mstaafu Mh. Edward Ngoyai Lowassa amestaafu siasa za Tanzania?

    Mwambie Magufuli aruhusu siasa za kwenye majukwaa ya wazi utajua kastaafu au hajastafu siasa za Tanzania.
  6. K

    Serikali yaamuru KKKT kuufuta waraka. Yatishia kulifuta "Baraza la Maaskofu wa KKKT" na kuwashitaki

    Naona anguko la kiongozi mmojawapo kati ya Shoo,Pengo au kiongozi wa nchi ni maoni tu wana jamvi ila niukweli ambao unaenda kutimia mda ni wakati mzuri Sana nyie subrini muone Nani anaenda kuanguka.
  7. K

    Kwanini wafuasi wengi wanaompinga Lipumba wanatokea Kaskazini na Pemba?

    Na kwanini wanaumuunga mkono wanatokea Kanda ya ziwa na Pwani?
  8. K

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Live stream naombeni.
Back
Top Bottom