Wana waadaa wana nchi ambao hawajui kinacho endelea,Tatizo ella azilipwi kwa wakati mlolongo mrefu,unaomba Ella,constant akipitisha malipo yaende kwa DWE,sijui engineer wa mkoa baada ya hapo ndo wizarani 3-4month ndo unafikiliwa malipo,changamoto iko kwenye malipo.
Mbona Tanroads wana perfom na...
Nategemea tuliokuwa kwenye eneo la tukio,mwenyewe gari ndogo alikuwa anaibia kona kwenye daraja na jamaa zetu mnajua wanavyo ibia kwenye kona,mwenye gari ndogo na uzoefu umeachangia,Dreva wa Newforce ka jitahidi sana la sivyo angeangamiza abiria kwenye jiwe,mwenye gari ndogo kamfuata mwenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.