Namuunga mkono BAN KIMOON 100% aona habari yake inaendana na utafiti wangu juu ya wengi waliotangaza nia. Wengi wa wagombea tunawajua uwezo na upungufu wao.Tofauti na WAPAMBE UCHWARA, BAN KIMOON ameeleza kwanini anamuunga mkono DAN, nyie wengine wenye wagombea wenu leteni hoja zenu kutushawishi...
Ndugu wadau, bei ni tofauti kulingana na mtaji wa kuanzia, kwani BRELA wanachaji kulingana na viwango vya mtaji wa kampuni husika.Kwa taarifa zaidi "on individual cases" tafadhali niPM.
Ili kusajili kampuni yako ndani ya muda mfupi, bila usumbufu wasiliana na RMJ & CO.Ltd kupitia namba 0714784154 au 0753784154. Kwa wale ambao walishafika kwenye ofisi zetu za awali, sasa tumeamia Tabata Matumbi (Mandela Road), jengo ilipo benki ya Access, 2nd Floor.
N.B: Kazi ya usajili wa...
Ndg. MKULIMA WA KAWAIDA
Nakuomba kwanza upunguze jazba fanya tafiti kabla ya kutoa tuhuma ambazo ni senseless.
Ungekuwa mtu makini ungefanya utafiti. Kazi hii sio tumeianza jana, ungekuwa mmoja wa wale ambao wamepata huduma zetu then ukaja na tuhuma hizo ningekuelewa.
Cha msingi zaidi, hakuna...
Ndg. MKULIMA WA KAWAIDA
Nakuomba kwanza upunguze kidogo, jazba fanya tafiti kabla ya kutoa tuhuma ambazo ni senseless.
Ungekuwa mtu makini ungefanya utafiti. Kazi hii sio tumeianza jana tuna muda mrefu, ungekuwa mmoja wa wale ambao wamepata huduma zetu then ukaja na tuhuma hizo ningekuelewa.
Cha...
Ndugu CTU, nashukuru kwa udadisi wako.Sisi si Brela bali ni mawakala.Wala katika andiko langu sijasema sisi tunasajili.Kwa ufafanuzi zaidi, ukitaka kusajili kampuni kuna vitu vinahitajika ikiwa ni pamoja na Articles of Association, Memorandam na kujaza makabrasha kibao ambayo mengine yanahitaji...
Zikiwa zimebaki siku chache kumaliza mwaka 2012, wasiliana na RMJ & CO. LTD ili kusajili kampuni yako kwa bei nafuu ya prpmosheni na bila usumbufu.Fika ofisini kwetu Mandela Road - Dar (Opposite na Mabibo Hostel) au piga simu: 0714 784154/0753 784154
Ili kusajili kampuni yako kwa muda mfupi bila usumbufu wasiliana na RMJ & CO.LTD kupitia 0714 784154/0753 784154 au fika ofisini kwetu: Mandela Road - Opposite na Mabibo Hostel.
Kama unataka kusajili kampuni yako kwa haraka na bila usumbufu, wasiliana na RMJ & CO. LTD tukuandalie makablasha yanayohitajika yakiwa ni pamoja na Memorandum na Articles of Association, kuyapeleka BRELA na kukuhakikishia upatikanaji wa hati ya usajili ndani ya wiki moja. Fika ofisini kwetu...
Ili kusajili kampuni yako au biashara nyingine ndani ya muda mfupi bila usumbufu wasiliana na RMJ&CO.LTD kupitia 0714 784154/0753 784154 au tembelea ofisi zetu zilizopo Mandela Road-Dar (Opposite na Mabibo Hostel)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.