Account yake pendwa yenye followers mil 4.2 ya Instagram imehackiwa.
Update :
ni kawaida kwa wanadam kusema lolote lile hasa kupinga...hebu fikilia watu wanapinga hadi uwepo wa mungu na mamlaka take,na wanadai biblia sio kitu.sembuse mm Chuggaboy kutoa taarifa...hasa za celebrity.
Kwan...
Leo nimeona kujiuliza kwanini account za watu instagram zina hackiwa sana Africa Leo had I account ilikua INA blue tick ya @Zarithebosslady wamehack na juzjuz tu walihack ya mh.Paul Makonda why....au bluterforce inahusika au ndo kuprove wafrica wapo ovyo sana kwenye usalama was kimtandao haswa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.