Recent content by kapamba65

  1. K

    Mwakyembe amshushua Tundu Lissu...

    Mkuu Huna hoja yoyote kaa kimya na mlishaelezwa ni matusi gani kamporomoshea baba wa taifa mmeshindwa kujibu nimeamini akili zenu hazina akili.. Kajipange upya..
  2. K

    Kauli ya Waziri Lukuvi: Jumuiya ya Waislaam yatoa tamko kali

    Hana jipya mkuu kashafilisika kwa hoja.
  3. K

    Nalaani tamko la mwanafunzi wa DUCE katika vyombo vya habari

    Msijali si tupo tunawasubiri nyie ccm kwenye kura za maoni tuone kama hizo mbili zenu zitapita.
  4. K

    Nalaani tamko la mwanafunzi wa DUCE katika vyombo vya habari

    Mpuuzi kweli wewe najua hata husomi chuo Hebu we tutolee hizo sababu za kuikataa hizo serikali tatu zilizopendekezwa na wananchi tuone kama hujakalilishwa na ccm waliozoea kukopy na kupest hata kutoa hoja wanashindwa utatwambia nn wewe!!...
  5. K

    Nalaani tamko la mwanafunzi wa DUCE katika vyombo vya habari

    Huyo mdada nami kaniudhi sana yaani atawezaje kutujumuisha sisi wanavyuo wote kuwa tunapenda serikali 2 na kutoa maoni yake binafsi labda nadhan atakuwa ametumwa na ccm kuichokonoa rasimu ya katiba iliyopendekezwa na wananchi,ila kila mtu ana mawazo yake na sio kutujumuisha wanavyuo wote wa tz...
  6. K

    Hatimae Wananchi kuamua n muundo upi wa Muungano wanaoutaka.

    Una mawazo mazuri sana ila ulishachelewa kama unataka hilo la serikali moja una uwezo wa kuibadili katiba ya Zanzibar isiwe nchi???hapa tatu ndo mpango mzima...
  7. K

    UKAWA ndani ya visiwa vya Pemba Alkhamis maandamano ya aina yake

    Biguuuuuuuup!!sana ukawa,we need ukawa for our change dat's all...
  8. K

    MBOWE NA LIPUMBA wanataka kuja kutueleza nini ambacho hatujakiona BMK?

    Hujielewi utawezaje kuthamin posho walizochukua kwa siku chache tu bila ya kuangalia katiba itakayokufanya kuishi kwa amani na maendeleo ya nchi, l love uuuu Tanganyika.
  9. K

    Rais Kikwete, Nchi haziongozwi kwa Maoni ya Watu

    Nadhani ujumbe uliotolewa umekufikia acha ushabiki.
  10. K

    Mwalimu Nyerere ametukanwaje hasa?

    Acha kwenda nje ya mada hebu ongelea maneno ya matusi yaliyotolewa na tundu na kwani nyerere hawezi kuwa mwongo au unadhani yale yote yaliyotolewa naye yalikuwa ya kweli.???
  11. K

    Mwalimu Nyerere ametukanwaje hasa?

    Hebu fikiria kwanza ndo utoe hoja na hilo nalo ni tusi?????
  12. K

    Mwalimu Nyerere ametukanwaje hasa?

    We naona hujailewa mada hebu ongelea ni maneno gani yaliyotolewa na tundu kumtukana nyerere na sio kubakia tu ati kamtukana..
  13. K

    Baada ya kutoka bungeni - hii ndio post ya Julius Mtatiro... Vitisho makanishani

    Huna akili unaangalia tu maslahi ya posho na sio hoja zenye kujenga zinazotolewa.
  14. K

    RADIO FREE acheni u CCM,ukada....

    Nami nimesikitishwa sana na huo ubaguzi uliotolewa magazetin ila tusihofu hoja za ukawa bado ni nzito na haziwezi kupinduliwa kilaini.
Back
Top Bottom