Nimejikuta na kutana na clip ya jembe maghufuli mtandaoni.
Na Hakika alikuwa ni mtu wa kipekee sana. It was once in a lifetime.
Watanzania sisi hakika tumerogwa.. Na huu ndo ukweli Mchungu. Yaani kipindi kile waliokuwa wanamuunga mkono magu walikuwa watu hali ya chini. Maana alifanya juhudi...
Kwa sajili hizi ambazo ziko nje ya uwezo wa kiuchumi wa timu husika.. Kutakuwa na namna chama cha CCM wanatumia yanga kama distraction kwa taifa ili mambo yao yaende smooth na vuguvugu la kisiasa liweze kudisolve kiaina.
Haikawahi kutokea club hapa Tanzania ikafannya kufuru ya namna hii kwa...
1: Kama Jesus walimsurubu kwa kuponya na kufanya miujiza iweje wewe ukubalike?
de Gunner amekuwa na kitu special katika jukwaa hili..
Ni mtu aliyependa ukweli, alipenda kuongea point na kuitetea kwa nguvu zote, ila hakujua ya kuwa human nature imeumbwa na ego.. Ego ni enemy wa binadamu. Kitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.