Baadhi ya maofisa wa mikopo hawatowi mikopo bila rushwa, unawekewa vikwazo hadi utangaze dau mwenyewe ndo unapewa nafasi ya kuanza mchakato, halafu rushwa yenyewe siku hizi wanachukuwa cash yaani kabla mkopo haujatoka unaambiwa toa hela kwanza,je tutafika?
hasa Nmb tawi la kariakoo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.