Msiwe mnakurupuka kuandika mambo hauna uhakika nayo. Si kwamba kwa vile unajua kukaa mbele ya computer na kuandika basi ndio uandike ----- humu jamvini.
Ungekuwa umemsoma na kumsikiliza Mh. Zitto alivyo sema kuhusu hili, usinge kuja na hoja mfu ndani ya jamvi hili.
Hivi hapo ulipo una...
Mkuu Makene!
Achana na huyo mjinga. Nashangaa kuona kwamba anaanzisha mijadala bila hata kufahamu sehemu nyingine duniani wanafanya nini! Nashangaa aliupataje uongozi CHADEMA huku akiwa hajui nini maana ya kuwashirikisha waTanzania katika mapambano ya kumng'oa mkoloni mweusi? Kwamba hajui nini...
Kwani ndiy mwenye serikali? Mbona Bagamoyo na pale Msoga machinga ndio wameliwa na funza kabisa licha ya shida walizo nazo, unashangaa wa Arusha? Its a universal problem kwa serikali hii ya MAGAMBA. Wewe vipi?
Tatizo hamjui kutafsiri kanuni. Mlizoea kushika wabunge masikio na kuwaburuza sasa mnaona kila kitu ni uvunjifu wa kanuni pale mnapoona mambo yana wazidi.
Si mlisha ambiwa kwamba RCs na DCs si wafanya kazi wa serikali lakini wanatumia resource za serikali ikiwa ni pamoja kuwaza kutoa amri ya...
Si mumchukue basi?? CHADEMA ni taasisi na hata mwenyewe analijua hilo fiki!!!! Mbona yupo jiiiiii na watu wanatwanga kwa kwenda mbele. si unaona jinsi walivyo geuka kuwa wapinzani. Maana kazi iliyo baki ni kujibu mashambulizi badala ya kutekeleza ahadi zao kwa waTanzania.
Sasa wewe subiria...
Jamani CHADEMA hamna huruma kabisa. Mtaacha MAGAMBA wafe kwa viwewe jamani. Ndani ya Bunge mmesha wageuza wapinzani. Nje ya Bunge nako mnapiga bila huruma namna hiyo!!?? Mwisho watasema CHADEMA ndiyo imemuua Bi. KIDUDE ili kichukiwe na wapenda Taarabu kama sio muziki wa Jahazi.
Walidhani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.