Recent content by kanumi jr

  1. K

    Vigezo vya kuchaguliwa Kidato V kwa mvulana

    C 3 ziwe zime balanc hata zicpo balanc unapangwa
  2. K

    Naweza kuanza kusoma degree NIT?

    Poa ahsante kwa maelekezo
  3. K

    Naweza kuanza kusoma degree NIT?

    Kwahyo anasoma degree??
  4. K

    Tuisaidie Taifa Start ili nchi isipate aibu!

    Yan tanzania tunakilaana..
  5. K

    Tuisaidie Taifa Start ili nchi isipate aibu!

    Hamna bhana tatizo kubwa kwa sasa ni kocha
  6. K

    Tuisaidie Taifa Start ili nchi isipate aibu!

    Dah inatia huruma.....sana yani nikiiangalia nasikia huruma harafu kocha hana hata wasiwasi....
  7. K

    Tuisaidie Taifa Start ili nchi isipate aibu!

    Hadi sasa timu yetu imeshachapwa mabao mawili na madagascar sioni striking force sioni kama boko anaweza kufunga sioni anachocheza oscar joshua....mbonde leo xenophobia umeiweza ...
  8. K

    Mulugo Karudia Tena Madudu yake!

    Hilo la leo sioni kama ni kosa la kumjadili mtoa mada umetumia kigezo cha kosa dogo kuleta matatzo yake ya nyuma
  9. K

    Naweza kuanza kusoma degree NIT?

    Niko mbali ndio maana nawauliza mnaojua..
  10. K

    Naweza kuanza kusoma degree NIT?

    Naomba msaada wenu! Kama umefaulu vizuri kidato cha sita kupitia masomo ya arts naweza nikaanza kupata degree na naweza kusomea Transport and Logistic? Msaada wana JF!
  11. K

    Hivi Kwanini Tanga, Pwani Dodoma, Morogoro na Iringa wanaipenda sana CCM

    Mimi pia ni mkazi wa tanga yani mtoa posti yuko sawa sana maaana watu wa huku kwa ccm huwaambii kitu.......inawezekana imesababishwa na mambo mengi ila sio suala la elimu ndogo peke yake.....kutakuwa na sababu nyingne
  12. K

    Tuzungumzie usajili Ligi Kuu Uingereza

    Tuzungumzie usajili ulaya......Timu yako iwe chelsea,man u,arsenal,liverpool.........inamtaka nani.....???
  13. K

    Mbwana Samatta

    Timu ipi anayotafutiwa na nani anayemtaftia.....????
  14. K

    Mbwana Samatta

    Tanzania na lubumbashi congo hakubalik kama hapo mwanzo ....
  15. K

    Mbwana Samatta

    Kwanini kijana anapotezs umaarufu wake na bado ajapata nafasi ya kucheza soka ulaya?????
Back
Top Bottom