Hivi huwa mna ung'ang'ania muungano kwa faida ipi? Maana naona muungano Ni sawa na uwepo wa mwenge .. yaani hakuna faida isipokuwa Zenji ndio wanaumizwa na hicho kitu
Hv akienguliwa lissu unaweza ww kuingia barabarani kumpambania? ..au unajifurahisha tu huku jf!? Eti mbowe muoga ..hv unaijua nguvu ya chadema iko wp?? Acheni utani bhana ...usikute mnaopampulisha hii inshu Ni maccm ...tuwaambie tu kuwa maamuzi ya kamati kuu tunayaheshimu na tunaiunga mkono...
Acha upimbi ndg, sio kila kitu utumie nguvu hata pasipohitaji nguvu ..unakipi ulichokifanya ndani ya chadema hadi umuite mbowe muoga? Si ajabu unaandika huu Utupolo ukiwa nje ya nchi ..cku Saba sio nyingi kvile mpk zisababishe mgombea aenguliwe kwenye kinyang'anyilo...tunajua mpo mnachochea kuni...
Rutashobolwa Ruttashobolwa Ruttashobolwa ninani aliyekuloga? Amin nakuambia lissu atashinda hata kabla ya jogoo wa tatu hajawika ..na ndipo mtakapolia na kusaga meno ..tubuni dhambi zenu kabla Mambo hayajaharibika ..ohooo shauri yenu
Ujue hata wasukuma wamefikia wamemchoka msukuma mwenzao na hii nimeikuta chatto 2019 wakijiapiza kuwa watamnyima kura jiwe ..yapo Mambo mengi hajawatekelezea hivyo hiyo kanda Kuna 50/50 tofauti na kanda za nyanda za juu kaskazini na kusini ambapo jiwe ataendelea kupoteza kura ..kifupi huu mwaka...
Aiseee ukiitwa mwanaccm embu njoo hapa ..pigana Wala usisite ndg ..Kama sio mwanaccm tafadhari pambana kuitwa hivyo ..aliyeandika huu upimbi Ni mwanaccm pure ile ile na itakuwa Ni pole pole chakubanga ..kaandika Utupolo mtupu
Tulijua lazima hayo yatokee baada ya juzi clip kumuonyesha akimsifia mungu kwa maajabu aliyoyaonyesha kwa mhe.Lissu ...risasi 16 na bado yu hai?? Huyu mtu Ni mshindi ..alisikika pastor Mwingira ..povu povu ccm povuuuuuuuuuuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.