Recent content by Kankwale

  1. Kankwale

    Askofu Fredrick Onael Shoo ashinda kuwa Mkuu wa Kanisa la KKKT

    Hongera zake Amekubalika achape kazi ya Mungu jamii iwe maadili
  2. Kankwale

    BBC Dira ya Dunia: Zari athibitisha kuachana rasmi na Diamond

    Kiki zinaendelea time will tell
  3. Kankwale

    Serikali kukataza wenye nyumba kukusanya kodi ya miezi 6, yasema inaumiza wengi

    Watasaidia kurasimisha nyumba ili mabenki yatoe mikopo zijengwe nyingi
  4. Kankwale

    Udhaifu wa Naibu Spika Dr. Tulia Ackson na Uhuru wa Muhimili wa Bunge

    Usiombe kufukuzwa chuo wiki ya mwisho ya boom
  5. Kankwale

    Lissu, Bulaya, Zitto, Pauline, Lema na Mdee wasimamishwa kuhudhuria vikao vya Bunge

    Uchambuzi mzuri wa hoja kufikia uamuzi, lakini ukishika mpini wa kisu utumie vizuri, siku akishika mwingine usituombe msaada wa kupiga yowe.
  6. Kankwale

    Ndalichako: Wanaodaiwa na HESLB tutaweka majina yao magazetini kuwashinikiza kulipa

    Sisi tuliosimamishwa vyuo kama adhabu ya kufanya mgomo kupinga ulipaji wa msaada/mikopo pindi bodi ilipokuwa inaanzishwa. itakuwaje?aweke majina tu tujue kiasi gani tunadaiwa.
  7. Kankwale

    TRA taarifa kwa Umma: Tishio la wafanyabiashara kufunga maduka

    Unakimbizana na vikodi vidogo wakati mikataba ya umeme ikivunjwa tutaweza kujitegemea hata kwa kutumia vibatari.
  8. Kankwale

    Mbunge Kahama: Wanafunzi waruhusiwe bila Viatu na Sare(Uniform)

    Mbunge anaturudisha zama za ukoloni
  9. Kankwale

    Maalim Seif Shariff Hamad Rais Zanzibar, maandalizi ya kutangazwa yaiva

    Hata akipewa ushindi umekwisha kosa mvuto labda na Jecha afikishwe mbele vyombo vya sheria kwa kutumia madalaka vibaya.
  10. Kankwale

    Kamanda Kova Akutana na Waandishi wa Habari

    Hongera Kamanda kwa kustaafu ni wachache wanaofikia hatua hiyo.
  11. Kankwale

    Ujerumani yaipa Tanzania ndege mbili

    Safi sasa majangili watakiona cha moto.
Back
Top Bottom