Recent content by kanki

  1. K

    JamiiForums Tanzania Next SA President: Conflicts in ANC & Zuma's Controversy

    kutokuwa musinzi si kigezo cha democracy ya kweli watu wanaangalia mambo mengine pia kwani hapa kwetu hatuna viongozi wazinzi tuliowachagua?
  2. K

    JamiiForums Tanzania Beda baada ya ukabila sasa umehitimisha kwa kumweka Eric mwanao kuila UCC?

    nakupinga kwa hilo, nimetoa oni most of engineering students by that time wa hayan na km walitoa wanfunzi kutoka engineering what did you expect?is to get many hayas
  3. K

    JamiiForums Tanzania Beda baada ya ukabila sasa umehitimisha kwa kumweka Eric mwanao kuila UCC?

    kilitime ujatulia hiyo sio oja hakuna pccb hapo wala nini acha mizengwe, wambie pccb waende mhasibu mkuu wa serikali na wizara ya fedha kwa ujumla kumeoza wanyakyusa na iringa tupu vimemo we umeona ucc
  4. K

    JamiiForums Tanzania Beda baada ya ukabila sasa umehitimisha kwa kumweka Eric mwanao kuila UCC?

    mie nitoe ushauri tu kwa prof beda kuwa yeye huruma yake imezidi sana tu baba wa watu kwani kuna baadhi ya ndg zake wapo pale hawana elimu ya kutosho ila wapo na ndo wanjifanya kiburi kisa ni ndugu wa prof beda. nadhani mzee beda kabla ajampa mtu kazi ambae ni ndugu yake ampatie masharti ya kazi...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Beda baada ya ukabila sasa umehitimisha kwa kumweka Eric mwanao kuila UCC?

    mchangiaji wa mwisho nakusifu sababu umetoa maneno mazuri sana kuhusu ukabila unaosemwa ucc, kama ukabila upo ucc si kiwango cha kusema wakijitokeza wahaya kwenye interview basi wengine wanatupwa kushoto na wahaya ndo wanachukuliwa ila tukubali ukweli kuwa ukija kwenye issue ya masomo ya...
Back
Top Bottom