Mkuu uko sashihi kabisa, na kwa kuongezea, vigae vya Magufuli alivinunua Nabakia Afrika na sio vigae vya India kama mdau alivyosema. Mshua wangu alimuuliza dr. kwani hata home tumeezekea hivyo vigae. Magufuli aliezeka tangu yr2000 na mpaka sasa viko vile vile. Tuliezeka 2008 na mpaka sasa viko...
Huko ni kubadilisha suti ili kupokea tuzo nyingine ya kili, mwanamziki ni yuluyule na wema wake. Hamshangai kila mume hamfai? Kadhalika baraza la mawaziri ni sanaa tu!
Chukua wanafunzi hamsini wa walioshika nafasi za mwisho katika mtihani wa kata darasa la nne, kisha wape mtihani uleule waufanye tena! Ni dhahiri shahiri kuwa kutakuwa na wa kwanza hadi wa mwisho. Magufuli ni mjanja wa waliofeli! Siwalazimishi kukubali!
111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111111death is death!
Every death has its cause! Stop mummering, can we get a real cause of Kanumba's death b4 we judge who is or not juvenile? We have prisons for juvenile too!
Nasema hiii, sio Makinda peke yake mwongo! Hata anyejiita mtoto wa mkulima alisema kuwa hawezi kumuwajibisha David Jairo kwa kuwa mamlaka iliyomuweka madarkani ni nyingine lakini wakati huu kamuwajibisha Blandina na wenzake ambao wamewekwa na mamlaka ileile aliyosema ni nyingine! Mimi nashauri...
Nasema hivii, si Makinda tu peke yaka mwongo hata anayejiita mtoto wa mkulima. Si muda mrefu alisema eti yeye hawezizi kumuwajibisha Davidi Jairo kwa sababu mamlaka iliyomweka madarakani ni nyingine. Nashangaa kina Blandina wa wizara ya afya kawawajisha. Ushauri wangu ni kuwa itengenezwe kitu...
Wapendwa, nadhani zile enzi za ufalme zimejirudia tena. Naona wameanza kurithishana viti vya ubunge. Hivi niuliza, kama watoto wa Mwenye heri Nyerere wangerithishwa urais wa nchi hii kina Mwinyi, Mkapa na Mrisho wangesogelea Magogoni kweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.