Usimtaje nyerere, alishasema lowasa mwizi. Usitaje aliondoa umaskini, ameiba na kutajirisha familia yake na rafiki yake rostam.
Sisi wengine tunamwona fisadi na kuwashangaa ninyi ambao mnapewa hela ya bia na kuisaliti nchi. Hivi unadhani utapewa cheo gani,( ´_ゝ`)( ´_ゝ`)(*^o^*) wewe
Nyangeta mm sina tatizo na pinda kama angebaki pinda tunayemfahamu.huyu wa sasa mmmm....vibali vya sukari anatoa yeye badala ya waziri c.chiza. pia, kumpa masaburi akusanye fedha za kampeni yake is wrong. Huyu meya anafahamika kuwa kitovu cha uzembe na kielelezo cha ufisadi. Sasa pinda ndiye...
Nikukumbushe ameuliza swali zuri sana.nashukuru watanzania tumeanza kufunguka macho kuwa inabidi rais ajaye awe imara kupiga vita ufisadi na rushwa. Tukiendelea hivi nchi itaangamia.
Kwa sasa bahati mbaya lowasa hana sifa hiyo.track record yake inamshtaki.pia amezungukwa na wezi, wakwepa kodi na...
Concrete umeganda....nani anautaka urais kwa nguvu zote kama sio waziri mkuu mwizi lowasa.umesikia wapi membe ametumia hata centi kuutaka urais.wwewe ushabiki wako wa kijinga utaendelea kukufanya maskini wewe na watoto wako. Badala ya kusimamia ukweli unababaishwa na hela ya bia na y chips...
Huwezi kumwita mstaafu.huyo mtu anayejiita mmasai wakati ni mmeru na aliwahi kumwibia baba yake mbuzi ni waziri mkuu msita-hafu. Lakini sio mstaafu. Tena inafaa katiba ijayo iweke wazi suala hilo.sio jitu limetuibia halafu linaendelea kutunzwa na kodi za wananchi...wananchi wenzangu tuungane...
Membe anajulikana kuwa ni adui wa mafisadi na ufisadi. Kwa hivyo sio ajabu hao wezi wa mali ya umma wakamzushia uongo. Bahati nzuri siku chache zijazo ukweli utajulikana.
Halafu mzee apson umeliibia sana taifa la tanzania.bado hujaridhika tu...una nyumba kila kona ya dunia..dubai, afrika kusini...
Hivi karibuni pamekuwa na taarifa zinazosambazwa kwenye mitandao ya jamii eti mhe. waziri membe nae amepewa mgao wa fedha za escrow na kwamba atawatumia wabunge wa upinzani kuiangusha serikali.
Taarifa hizo ni za uongo.watu wanaomfahamu waziri membe watakubaliana nami kuwa waziri membe...
Kama watanzania wataendelea na ushabiki wa kijinga wa kuchagua viongozi wenye historia ya ufisadi na wizi; kama watanzania wataendelea kuwasifu na kuwaheshimu wezi wa mali ya umma na wakwepa kodi; kama watanzania tutaendelea kutumiwa na wanasiasa kufikia maslahi yao; tutaendelea kuwa maskini...
mlevi, asiyependa muungano na mmiliki la kundi la uamsho akishirikiana na fisadi, mwizi, mwenye uchu wa madaraka na afya inayotetereka, uongozi wa nchi utazamisha watanzania:glasses-nerdy:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.