Mhe. Mwakyembe alikatiwa rufaa na mpinzani wake aliegombea nae ubunge mh. Mwanyamaki kupinga matokeo yaliyompa ushindi mh. Mwakyembe.
Sasa ameteuliwa kuwa waziri wa katiba na sheria. Kwa nature ya mfumo wetu je, haki itatendeka kweli wakati mahakama zipo chini yake?
Kuna tuhuma za mh. Magufuli kuwa aliuza nyumba za serikali kwa bei ya kutupwa,kuliingizia taifa hasara ya kesi ya samaki,kununua vivuko vibovu,n.k haoni kama hafai kuwa rais?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.