Recent content by kangauka

  1. K

    Pius Msekwa: Maamuzi ya Bunge kwa CAG hayajawahi kutolewa mahali popote duniani

    Haaa haq Sent using Jamii Forums mobile app
  2. K

    Siwaelewi wanasiasa wanaoshawishi wahisani kunyima nchi zao misaada

    si kweli bwana. Kwan hujui hizo nchi wahisani zina wawakilishi wao au mabalozi
  3. K

    Dr. Mwakyembe anaweza kushinda kesi dhidi ya Mwanyamaki

    Mhe. Mwakyembe alikatiwa rufaa na mpinzani wake aliegombea nae ubunge mh. Mwanyamaki kupinga matokeo yaliyompa ushindi mh. Mwakyembe. Sasa ameteuliwa kuwa waziri wa katiba na sheria. Kwa nature ya mfumo wetu je, haki itatendeka kweli wakati mahakama zipo chini yake?
  4. K

    Anaetaka kubadili kituo cha kazi

    Kama uko Mbeya na ni mwalimu wa msingi au sekondari unataka kwenda Musoma Mjini, Ukererewe, Kigoma au Kilimanjaro tuwasiliane kwa 0655 707 527.
  5. K

    Uliza swali lako mdahalo wa wagombea Urais utakaofanyika Oktoba 18, 2015

    Kuna tuhuma za mh. Magufuli kuwa aliuza nyumba za serikali kwa bei ya kutupwa,kuliingizia taifa hasara ya kesi ya samaki,kununua vivuko vibovu,n.k haoni kama hafai kuwa rais?
  6. K

    Kamanda Ngwatta arejea ulingoni

    safi sana
  7. K

    Habibu Mchange yupo Star TV anaichana CHADEMA

    nani msafi fisiem? Mbona huhoji escrow,epa,tokomeza,kiwira,meremeta,rada,n.k we unakumbuka richmond tu? Tatizo mfumo.
  8. K

    CHASO kufanya maamuzi magumu leo Dar es salaam

    mnaacha kupigania mruhusiwe kupiga kura mnaleta mbwembe,vizuizi na kutumiwa. Endeleen kutumika na njaa zenu zitaendelea kuwabakiza wezi wazoefu madarakani
  9. K

    Nani kalipia muda wa maongezi wa Kingunge N. Mwiru?

    acha imani zako hizo bwana. Acha sindano iwakolee
Back
Top Bottom