Recent content by Kandongu

  1. K

    JamiiForums Tanzania SoC04 Usawa katika elimu uzingatiwe

    Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imejidhatiti kikamilifu katika kupigania usawa wa kijinsia kati ya watoto wa kike na wale wakiume. Lakini kwa siku za hivi karibuni serikali imejenga dhana ya kumbagua mtoto wa kiume na kumkweza mtoto wa kiume akitangatanga bila ya msaaada wowote ule...
  2. K

    JamiiForums Tanzania SoC04 Somo la kilimo lipewe kipaumbele katika ngazi zote za elimu

    Somo la kilimo (Agricultural sciences) ni miongoni mwa masomo yanafofundishwa katika elimu ya sekondari pekee kama somo ambalo mwanafunzi anachagua kusoma. Kutokana na umuhimu wa somo hili na tija kubwa itokanayo na sekta hii adhimu serikali haina budi kulifanya somo hili kuwa la lazima katika...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    RAIS shikamoo, Pole na Hongera sana kwa majukumu mazito ya kusukuma gurudumu la taifa letu. Mheshimiwa RAIS naandika BARUA hii nikiwa na majonzi mazito sana moyoni mwangu. Mheshimiwa RAIS nitajikita katika wizara ya TAMISEMI hususan katika SEKTA ya ELIMU kwani ndiyo sekta nyeti sana katika nchi...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Serikali iwaajiri Walimu wahitimu wa mwaka 2015-2018 kwa mkupuo

    Serikali kupitia OR TAMISEMI inawajibu wa kuwaajiri walimu hususan wahitimu wa mwaka 2015-2018 kwa mkupuo bila kujali masomo waliosoma. Walimu hawa wengi wao wapo mitaani wakirandaranda huku na kule ili kuwezesha mikono yao iende kinywani. KWANINI SERIKALI IWAAJIRI WALIMU HAWA KWA MKUPUO? 1...
Back
Top Bottom