Akili kubwa ametumia mtumishi wa Mungu kwenye hili la kikokotoo.
=====
Pastor Daniel Mgogo: Kabla mtu hajastaafu apewe chake, siku ile anasaini fomu ya kwamba nimestaafu, muamala umesoma.
Kuna hii mbinu wanasema tukiwapa zote wanatumia vibaya, sasa kwani mtu akinywea zote nyie shida yenu...
Kumekuwepo na tabia ya baadhi ya makampuni kuanzisha makampuni mengine ndani ya Kampuni. Mtu anaajiriwa kwa mwamvuli wa kampuni husika lkn anapopewa mkataba unasoma jina la kampuni nyingine hii imekaaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.