Recent content by kanderema

  1. K

    PreGE2025 Dkt. Willibrod Slaa aachiwa huru, DPP hana nia ya kuendelea na kesi

    Tanzania nakupenda kwa moyo wangu wote
  2. K

    LEMA: Baadhi ya wabunge kati ya 19 ni wake wa viongozi wakuu wa CHADEMA

    Kwa hili Lema uko sahihi kuwa upande wa Lisu
  3. K

    Mpaka sasa haijulikani wapi Tundu Lissu alipo

    Mimi nasoma comment tu nimeandika na kufuta zaidi ya mara tano
  4. K

    Pastor Daniel Mgogo: Hii mbinu wanasema tukiwapa zote wanatumia vibaya, mtu akinywea zote nyie shida yenu nini?

    Ndio maana Yao kubwa, na why wabunge wakivunja bunge wanapewa chao bila kutumia kikokotoo? hapa Kuna fumbo kubwa sana
  5. K

    Pastor Daniel Mgogo: Hii mbinu wanasema tukiwapa zote wanatumia vibaya, mtu akinywea zote nyie shida yenu nini?

    Akili kubwa ametumia mtumishi wa Mungu kwenye hili la kikokotoo. ===== Pastor Daniel Mgogo: Kabla mtu hajastaafu apewe chake, siku ile anasaini fomu ya kwamba nimestaafu, muamala umesoma. Kuna hii mbinu wanasema tukiwapa zote wanatumia vibaya, sasa kwani mtu akinywea zote nyie shida yenu...
  6. K

    Je, ni sawa kuwa na kampuni ndani ya kampuni moja?

    Kumekuwepo na tabia ya baadhi ya makampuni kuanzisha makampuni mengine ndani ya Kampuni. Mtu anaajiriwa kwa mwamvuli wa kampuni husika lkn anapopewa mkataba unasoma jina la kampuni nyingine hii imekaaje?
  7. K

    Kikokotoo kupatiwa majibu leo

    Inawezekana kampa maelekezo mkuu
  8. K

    Kikokotoo kupatiwa majibu leo

    Kwa upepo ulivyo vuma kule Bungeni huenda leo tukapata majibu ya kikokotoo Leo.
Back
Top Bottom