Afanye siasa lakini hasituingize watu wa kanda ya ziwa kwenye agenda zake binafsi za kisiasa na ukabila wake. Kwa bahati nzuri yeye ni mbunge kwanini asizungumze kwa niaba ya wananchi wa jimbo lake hadi atuhusishe wananchi wote wa kanda ya ziwa,?
Huyu msukuma alikuwa ni chawa pro max wa Jpm na kwenye kambi ya lowassa alienda kimkakati kuratibu (kusinichi) kila kilichokuwa kinaendelea kule na kupeleka taarifa kwa jpm ameishi hivyo hivyo kwa usinitch na kuchongea watu kwa jpm hadi wengine kufukuzwa kazi na kuvuliwa nyadhifa za chama. Sasa...
Hakuna anayepinga msukuma kutoa mawazo. Tunachopinga sisi ni msukuma kutuingiza watu wote wa kanda ya ziwa kwenye maoni yake na kusema kwamba sisi ndio tuliomtuma wakati si kweli
Serikali imeweka utaratibu wa kila mwanasiasa kufanya siasa katika jambo lake sasa yeye kinachomtoa huko jimboni kwake vijijini na kuja kuturopokea kwenye jiji letu ni nini?? Kwani hawezi kuropokea kwenye jimbo lake?
Kama anataka kupandikiza ukabila kwenye kanda yetu mwambie huo ujinga aupeleke...
Kanda ya ziwa imesheheni wasomi, wastaarabu na watu tunaojitambua usituweke kundi moja na huyo kilaza anayetumiwa na wajanja kupayuka uharo baadaye wanamtekeleza kama toilet paper
Sijamkataza kufanya siasa lakini afanyie kwenye jimbo lake sisi watu wa kanda ya ziwa hatujawahi kumchagua mahali popote pale kuwa msemaji wetu. Aache kiherehere
Mbunge Musukuma sisi wakazi wa kanda ya ziwa hatukukutuma na hatujawahi kukuchagua kuwa msemaji wetu kwa jambo lolote.
Sisi wazee na watu wa kanda ya ziwa hatukukutuma kusema hayo unayoita mapigo ya kumjibu Antony Diallo na kama ulikuwa na nia ya kujibu mapigo ungemjibu kwa utashi wako au kwa...
Kweli kabisa ndio maana hawataki kuboresha mazingira ya shule zetu ili kusudi watoto wao waje kuwa watawala wa watoto wetu ambao wamepitia mfumo wa elimu duni na kama wazazi tusipoamka na kuibana serikali basi watoto wetu watabaki kuwa wasindikizaji
Pamoja na approach aliyoitumia ila alichokisema RC antony mtaka ni ukweli uliochelewa kusemwa kwa sababu ni kwa miaka mingi sana elimu yetu imekuwa ikifanyiwa siasa na kuharibiwa na viongozi tuliowapa dhamana ya kuisimamia.
Mara kadhaa kumekuwa kukitolewa matamko yasiyo na kichwa wala miguu...
Leo tena inasemekana kuna mwingine ameuawa kwenye kisiwa hicho hicho cha ukara na jana kulizuka vuruga katika kata ya bukongo wakati wa urejeshaji fomu baada ya kutokea hali ya kutokuelewana kati ya mtendaji wa kata na wafuasi wa chadema
G Sam fuatilia utupe habari kwa kina hili la leo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.