redio
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 5,134
- 11,481
Namna alivyo ongea Mtaka ni Kama anavyo ongea Tundu Lisu, kujifanya wewe unafahamu Mambo kuliko wenzako na kuliwasilisha Jambo kwa kebehi na majivuno ata Kama una ujumbe sahihi lakini kuwakilisha kwako kwa majivuno na kiburi si tu binadamu wenye uelewa watakushangaa lakini ata Mungu hapendi wenye Viburi.
Kiburi na dharau kimemletea Lisu matatizo mengi, Mtaka alikua anapendwa na wengi lakini wale wenye ufahamu na wanyenyekevu wa Mambo wata anza kua na wasiwasi nae juu ya tabia ambayo hawakua waki ifahamu Kama alikua nayo.
Kiburi na dharau kimemletea Lisu matatizo mengi, Mtaka alikua anapendwa na wengi lakini wale wenye ufahamu na wanyenyekevu wa Mambo wata anza kua na wasiwasi nae juu ya tabia ambayo hawakua waki ifahamu Kama alikua nayo.