Hii ni disqualification kwa CCM kwani, kila kukicha wanakuja na visingizio vipya. wamesema hadi tar 20 October, lakini kwa nijuavyo, itafika tarehe hiyo watakuja na propaganda mpya, cha nsingi tuitoe serikali ya ccm kwa sababu kwenye hili shirika ndo imekuwa kwa sehemu kubwa ndio mtaji wa...