Sasa hapo ndo nashidwa kuelewa kwasababu
Muda waliopanga wa mechi ulivyosogezwa wamesema wanatumia ghrama kuhudumia na kulonge wachezaji wako maana wao ndo waliotangulia nangwanda sijaona huko mtwara
"Tumepata athari ya kifedha baada ya mchezo (dhidi ya Simba Sc) kusogezwa mbele, kwa sababu mchezo kama ungechezwa tarehe 6 kama ilivyopangwa basi tarehe 7 tungerudi na hivyo watu wangepumzika na kusingekuwa na haja ya watu kukaa kambini kuwahudumia."
"Lakini wametuongezea siku moja mbele...
Shirikisho la soka nchini TFF leo limetanga rasmi kuwa mchezo wa nusu fainal ya kombe la ASFC FA kati ya Singida BS vs Yanga itachezwa tarehe 21.05.2023 saa 9:30 mchana uwanja wa CCM LITI Mkoani Singida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.