Recent content by Kamuche

  1. K

    Polisi wazingira Mahafali ya CHASO Dodoma, Watawanywa kwa nguvu

    Sijaelewa. Dar es Salaam kibali wamekipata wapi? Mbona Karimjee ilikuwa shwari tu? au Polisi Tanzania hawaongei lugha moja?
  2. K

    Upinzani unakufa au CCM kinakufa?

    Siwaelewi! Mnafurahia au mnasikitika? Kwani alipokuwa akipita akinadi M4C "Magufuli For Change" mlijua ni mabadiliko ya kuvaa mashati? Msipojitahidi kuwa na Ajenda mbadala mtaishia kudandia tu kama Kawaida yenu.
  3. K

    Accountant

    now has attachment, pitia fursa hiyo
  4. K

    Accountant

    see attachment
  5. K

    Rais Magufuli, Naona Changamoto na mtihani mgumu sana mbele yako

    Mazwazwa, Watu kama nyie ndio mnaitia nchi hii Umaskini. Mnaorodhesha matatizo kama mpo kwenye TV mkiangalia Tamthilia. Mijitu mizima Malofa kabisa. Hakuna asiyejua matatizo ya nchi hii, tunahitaji masuluhisho, huna piga kimya.
  6. K

    Dk. Slaa aliipatia CHADEMA wabunge zaidi ya 30, Lowassa ameipatia CHADEMA wabunge 22

    Milioni 2 ya Milioni 8 na Milioni 6 ya Milioni 15. Naiona tofauti ndogo sana.
  7. K

    Nimegundua ACT-Wazalendo isingeleta msaada wowote UKAWA

    ACT wangesaidia UKAWA. wana ACT wengi wameipigia CCM ili UKAWA wasishinde.
  8. K

    Lowassa umetuangusha Ifakara kwa kushindwa kufanya mkutano

    Pole sana, naamini atakuja huko akishakuwa Rais kufungua Daraja la Mto Kilombero
  9. K

    Mktano wa Lowassa kutoka Ifakara leo Oktoba 22

    Amekuja? Updates Makamanda
  10. K

    UKAWA Chopa Sita: Wanashambulia Kila Kona..!

    Hivi heading hii imepotelea wapi! Maana mpaka tuulize ndo tuambiwe mlipo?
  11. K

    Mwenyekiti wa NLD na Mwenyekiti mwenza wa UKAWA Dr. Emmanuel Makaidi azikwa makaburi ya Sinza

    Najua hakuna anaetaka kujadili kwanini mzee ali"preshika". Mioyoni wanajuta, kumgeuka baada ya kukubaliana. Tutakusaidia Mzee kuirudisha Siasa kwenye Misingi. Ulaghai hauna nafasi.
  12. K

    Mahakama Kuu Kanda ya Dar: Marufuku Mikusanyiko ndani ya mita 200 baada ya kupiga kura

    Family business, Mme anampigia mke Kampeni kupitia Case. Amazing politics
  13. K

    Tusidanganyane: Hapa lazima moto utawaka tu!

    Kituo ni nadharia, Kila sehemu palipokuwa na Uandikishaji kutakuwa na kituo zaidi ya kimoja kukidhi mahitaji ya wote waliokuwepo. Kuna maeneo waliandikisha zaidi ya siku 14 na kwa mashine zaidi ya mbili. Ikikupa Wastani wa watu 100 kwa mashine kwa siku. Unaweza kisia kwenye eneo moja kutakuwa na...
  14. K

    Mafisadi kuhamia CHADEMA?

    Duh! Nimeogopa.
Back
Top Bottom