Natafuta sehemu ambazo nitanunua dawa kwa bei ambayo nitauza kwa bei ya jumla na pia kwa rejareja ila nipate faida nzuri.
Na pia natafuta sehemu ambayo nitapata vipodozi ambapo wale wanaouza jumla Kariakoo hununua .
Habari ndugu wanajukwa hili.
Nitangulie kwa kusema kuwa afya ya kila mmoja wetu ndiyo kipaumbele katika wakati wote tukiwa hai.
Sasa Afya hiyo kwa Mtanzania Iko Mikononi mwa nani?
Je wataalamu wa Afya?
Je wanasiasa?
Je Viongozi wa dini?
Je ni watu wa mtaani?
Au Mtu mwenyewe?
Tuliona changamoto...
Ndugu zangu,
Naomba kujua wapi naweza pata mifuko hiyo kwa bei ya jumla kuanzia pic 1000. Aina kama inavyo onekana kwenye picha, kwa Dar es salaam, wapi inazalishwa au kuuzwa jumla.Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.