Kuna taarifa nimezipata kutoka kwa mdau magogoni kwamba, Ubalozi wa Misri kwa kushirikiana na wizara ya mambo ya nje wamendaa sherehe itakayowajumuisha wawakilishi wa nchi mbalimbali barani afrika kwa ajili ya kujipongezana juu ya makubaliano ya ujenzi wa mradi wa Stiglers Gorge baina yao...
Siasa za Zitto zenyewe za kishamba tu, tangu akiwa Chadema amekuwa na siasa za kujikombakomba, kujionesha onesha, kusalitisaliti tu, hizi ni siasa za kishamba sana.
Katika kujifanya mzalendo, Zitto amekuwa mshambamshamba tu, amekuwa mtu wa kuzitishiatishia Taasisi za Umma ili zimhonge...
Hamna jipya magufuli anajua ukweli wenu na harakati zenu za kumgombanisha na kipilimba ili mpate upenyo.
Shidah kubwa inayowatesa ni kutaka kumgombanisha na kipilimba kwa sababu mnajua ubora wake hamtopata nafasi.
This mission failed!
Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh John Joseph Pombe Magufuli, amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya kenya Mh Uhuru Kenyata atafanya ziara rasmi nchini Tanzania Mwezi February 2019, Rais Magufuli ametoa taarifa hiyo katika ufunguzi wa kitua cha idara ya forodha ya pamoja (Kenya na Tanzania)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.