Umoja wa Ulaya wanataka kuandika upya sheria za Tanzania?

Papaa Muu

JF-Expert Member
Nov 6, 2018
243
292
Na Mwanaharakati huru

Tamko la Bunge la umoja wa nchi Ulaya (EU) linaingilia mambo ya ndani ya nchi na kudhoofisha Sovereignty ya Tanzania.

Bunge la Umoja wa Ulaya katika tamko lake,linaitaka nchi ya Tanzania ifute sheria inayokataza vitendo vya ushoga na mapenzi ya jinsia moja ili kuwapa wananchi wake kinachoitwa 'uhuru' wa kushiriki mapenzi kinyume na maumbile bila kushtakiwa.

Tanzania ni sovereign state.Kitendo cha Umoja wa Ulaya kutaka nchi huru ifute sheria zake ni kujaribu kuidhoofisha nchi na kuingilia uhuru wake.Tanzania kama nchi huru haitafaa kuongozwa kwa mapenzi ya nchi za ulaya.Tuwe tayari kwa athari zozote lakini tuendelee kuwa nchi huru.

Ni dharau kwa taifa letu kuambiwa nchi na nyingine "futeni sheria fulani za nchi yenu"

Tamko la bunge la umoja wa ulaya linalenga kuidhoofisha Tanzania.

Umoja wa ulaya wanafanya haya kwa sababu ya misaada yao kwa Tanzania.Tanzania isije ikapiga magoti mbele ya nchi za umoja wa Ulaya.Itakuwa ni ujinga Ku undermine our sovereignty in exchange of Western AIDS.

Tanzania isimame imara kama wakati wa utawala wa hayati Julius Nyerere kuhusu suala la Zimbabwe na Afrika ya kusini na kile kipindi cha Vita baridi.

Mwl. Nyerere alichagua kutofautiana na nchi za ulaya ili kulinda Uhuru wa Tanzania.

Ni bora kutofautiana na EU kuliko kupiga magoti mbele ya nchi za Ulaya kwa ajili ya misaada kwa gharama ya kufuta sheria zetu ili kuruhusu tabia za kishenzi.



Mwanaharakati.
 
Hilo tamko limezungumzia Ushoga tu?

Kuliko yote hayo si mtangaze tu kuwa "jamani eenh kuanzia leo hatutaki urafiki na yeyote sisi ni nchi huru mtuache tuwe huru kwenye uamuzi wowote, "

Mkimaliza hapo fukuza mabalozi wote wanaoziwakilisha nchi zao hapa Tanzania halafu turudishe mabalozi wetu wote then sisi TUPAMBANE KIVYETU VYETU, si mnasemaga Tanzania tuna rasilimali nyingi kwanini tusikomae tu na rasilimali zetu?


PUuuuuuuuuumbavu
 
Ni tabia yao kwa nchi yoyote duniani inayojitambua wao ni shida, hata Urusi nchi ya wazungu wenzao , kila mara vikwazo vya uchumi sijui wanaishiana Vipi? Syria ndiyo usiseme kila kukicha wamekalia kauli kwa mataifa ya wenzao, hovyo kabisa!
 
Ni kweli zipo nchi nyingi za kushirikiana nazo sio lazima ziwe za ulaya.
Na Mwanaharakati huru

Tamko la Bunge la umoja wa nchi Ulaya (EU) linaingilia mambo ya ndani ya nchi na kudhoofisha Sovereignty ya Tanzania.

Bunge la Umoja wa Ulaya katika tamko lake,linaitaka nchi ya Tanzania ifute sheria inayokataza vitendo vya ushoga na mapenzi ya jinsia moja ili kuwapa wananchi wake kinachoitwa 'uhuru' wa kushiriki mapenzi kinyume na maumbile bila kushtakiwa.

Tanzania ni sovereign state.Kitendo cha Umoja wa Ulaya kutaka nchi huru ifute sheria zake ni kujaribu kuidhoofisha nchi na kuingilia uhuru wake.Tanzania kama nchi huru haitafaa kuongozwa kwa mapenzi ya nchi za ulaya.Tuwe tayari kwa athari zozote lakini tuendelee kuwa nchi huru.

Ni dharau kwa taifa letu kuambiwa nchi na nyingine "futeni sheria fulani za nchi yenu"

Tamko la bunge la umoja wa ulaya linalenga kuidhoofisha Tanzania.

Umoja wa ulaya wanafanya haya kwa sababu ya misaada yao kwa Tanzania.Tanzania isije ikapiga magoti mbele ya nchi za umoja wa Ulaya.Itakuwa ni ujinga Ku undermine our sovereignty in exchange of Western AIDS.

Tanzania isimame imara kama wakati wa utawala wa hayati Julius Nyerere kuhusu suala la Zimbabwe na Afrika ya kusini na kile kipindi cha Vita baridi.

Mwl. Nyerere alichagua kutofautiana na nchi za ulaya ili kulinda Uhuru wa Tanzania.

Ni bora kutofautiana na EU kuliko kupiga magoti mbele ya nchi za Ulaya kwa ajili ya misaada kwa gharama ya kufuta sheria zetu ili kuruhusu tabia za kishenzi.



Mwanaharakati.
 
Back
Top Bottom