Nimeona mtu akisema ukawa Wanaleta ukaskazini amesahau kwamba mtoto wa Kikwete alisema rais hawezi toka kanda ya kaskaazini! Hii ni ajabu sana watu wanaeneza chuki kiasi hiki
Ndugu wana-jf,
Kama mnakumbuka kipindi fulan ccm walisema sana watarejesha majimbo yote, ila sasa hivi hatuwasikii tena wakilisema tena! Vp hii imekaaje?
Anaongea mchakato wa ccm utafikir yeye ndo alikuwa mwenyekit ww Mkutano! Huyu jamaa ni fara mpak basi sasa hivi kajibadilisha kutoka uanaharakat hadi mwananchi wa kawaida, shame on him!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.