Recent content by Kamote

  1. Kamote

    Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

    Arusha ni mji wa Kimataifa kwa jinsi , Mungu alivyoumba na Hali ya hewa na juhudi za watu wqke kujiteletea maendeleo, hivyo ni lazima DEMOKRASIA itawale na si pesa wal mamlaka zisizofuata utawala bora. Angalau leo Mahakama ya Rufaa Tz imerudisha heshima ya mji na watu ka kiongozi wao
  2. Kamote

    Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

    Wadau tunaomba mtusaidie sisi tulio huku Arusha kupata nakala ya Hukumu ya Mahakama ya Rufaani kuhusu Mheshimiwa Mbunge wetu wa Ar, ili tuweze kuona jinsi nuru ilivypishinda giza. Itakuwa ni ukombozi kwetu na watoto wetu.
  3. Kamote

    Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

    Wadau na wananchi hii ya Tanzania, leo shetani ameshndwa akiwa na majeshi yake yote, alijaribu kuwatesa watu wema kama watamkufuru Mungu akashindwa, akaanzisha zali la kuwafungulia mashitaka ya uongo km la Prof. Mahalu hapo akala mafumbi kama alivyoamuriwa tokea zamani, sasa wakati wake wa...
Back
Top Bottom