Arusha ni mji wa Kimataifa kwa jinsi , Mungu alivyoumba na Hali ya hewa na juhudi za watu wqke kujiteletea maendeleo, hivyo ni lazima DEMOKRASIA itawale na si pesa wal mamlaka zisizofuata utawala bora. Angalau leo Mahakama ya Rufaa Tz imerudisha heshima ya mji na watu ka kiongozi wao
Wadau tunaomba mtusaidie sisi tulio huku Arusha kupata nakala ya Hukumu ya Mahakama ya Rufaani kuhusu Mheshimiwa Mbunge wetu wa Ar, ili tuweze kuona jinsi nuru ilivypishinda giza. Itakuwa ni ukombozi kwetu na watoto wetu.
Wadau na wananchi hii ya Tanzania, leo shetani ameshndwa akiwa na majeshi yake yote, alijaribu kuwatesa watu wema kama watamkufuru Mungu akashindwa, akaanzisha zali la kuwafungulia mashitaka ya uongo km la Prof. Mahalu hapo akala mafumbi kama alivyoamuriwa tokea zamani, sasa wakati wake wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.