Recent content by kamodo

  1. K

    Natafuta chumba

    Natafuta chumba kimoja kikubwa selfcontaned kwa sh 100,000/= maeneo ya Magomeni, Ubungo na Kinondoni kiwe karibu na mwendokasi. Mtu yeyote ani PM
  2. K

    Nilidumbukia chooni, inaweza kuwa gundu ya kukataliwa na wanawake?

    Mungu ndo kimbilio, mwambie Mungu akusaidie ndani ya mwaka huu coz tumebakiwa na mwez mmoja uishe,, uwe umempata mwaminifu na mwenye imani km yko. toa sadaka ukiinenea neno la baraka kutoka kwa Mungu. utauona Uwezo wa Mungu ulivyomkubwa no matter what! usifikirie Rena maswala ya nuksi yasije...
  3. K

    Prof.Anna Tibaijuka, Jobs

    Ni uongo ! na waliofanya mchezo huu wanatafutwa,,,,
  4. K

    Unaletewa parcel na document yoyote mpaka ulipo kwa sh 5000

    Nashukuru sana Zanzibar spices kwa positive attitude uliyoonesha, na maelezo uliyoyatoa,, lakini pia siwalaumu vijana walioonesha ku-comment negative ni kwa sababu hali ya maisha ss hv ilivyo na kwa ss especially binadamu tulivyopunguza uaminifu; kapuni ipo kweli pamoja na bima karibu sana...
  5. K

    Unaletewa parcel na document yoyote mpaka ulipo kwa sh 5000

    kuna process za kufanya mtu mpaka akapata icho cheti withough incurring any cost,,, only companies cost. it means kutafutiwa cheti kingine ambacho kitakuwa na value km kile ulichokuwa nacho mwanzo,,, ila ofice yetu ipo very serious na service zetu inadeal na confidencial things,,,hatutegemei...
  6. K

    Unaletewa parcel na document yoyote mpaka ulipo kwa sh 5000

    karibu ofisi zetu zipo ,,kampuni inaitwa Unilever courier services ipo mwenge -kituo unashuka ITV-kama unaelekea makumbusho mkono wako wa kulia kama unatoka makumbusho mkono wa kushoto.-0653-620415.
  7. K

    Unaletewa parcel na document yoyote mpaka ulipo kwa sh 5000

    kuna process za kufanya mtu mpaka akapata icho cheti withough incurring any cost,,, only companies cost. it means kutafutiwa cheti kingine ambacho kitakuwa na value km kile ulichokuwa nacho mwanzo,,, ila ofice yetu ipo very serious na service zetu inadeal na confidencial things,,,hatutegemei...
  8. K

    Unaletewa parcel na document yoyote mpaka ulipo kwa sh 5000

    Nashukuru sana kaka kuwa muelewa, siku zote positive attitude ni nzr mno kuitanguliza km ulivyofanya,,,Asante,, na ukweli ni kwamba ofisi ipo ila napenda mtu akishakuwa interested tuongee face to face or through phone coz covincing power kwenye written ni ndongo mno,, ila pia nitamjibu mmoja...
  9. K

    Unaletewa parcel na document yoyote mpaka ulipo kwa sh 5000

    Nashukuru sana Madam Mwajuma ww uliyesoma, ila sio kila aletaye tangazo ni tapeli ! sometimes tunahitaji positive mind- iyo ni mojawapo ya personal development- ok ngoja nikueleze na karibu sana dada utembelee ofic zetu-kampuni inaitwa Unilever courier services ipo mwenge -kituo unashuka...
  10. K

    Unaletewa parcel na document yoyote mpaka ulipo kwa sh 5000

    sio wote tapeli kaka, ndo maana nikakwambia kama unahitaji huduma niambie ulipo nije tuongee zaidi , kutumia media sometimes convincing power ni ndogo. ila haina shida ngoja nikuelekeze ufike;kampuni inaitwa Unilever courier services ipo mwenge -kituo unashuka ITV-kama unaelekea makumbusho mkono...
  11. K

    Unaletewa parcel na document yoyote mpaka ulipo kwa sh 5000

    kampuni inaitwa Unilever courier services ipo mwenge -kituo unashuka ITV-kama unaelekea makumbusho mkono wako wa kulia kama unatoka makumbusho mkono wa kushoto.-0653-620415.
  12. K

    WANASHERIA NA MAWAKILI PITA HAPA

    Mimi ni marketing officer kutoka Unilever courier- nafanya shughuli ya kudeliver parcel au document- kwa sh.5000/= elfu tano tu.nina bima katika service yangu ikitokea document imepotea una be -reimbursed kulingana na value ya document iyo,,,ninadeal na confidential document,, wapo wanasheria...
  13. K

    Unaletewa parcel na document yoyote mpaka ulipo kwa sh 5000

    karibu ,,, hapana, ndo maana nikasema tunadeal na confidencial things pia. it mean tunawajari wateja na kuheshimu kazi yetu. km unahitaji service ni call au nitext ulipo nikufuate tuzungumze business.
  14. K

    Msaada wa masoko ya ku-deliver parcel au Document.

    Jaman nafanya biashara ya ku-deliver parcel au document anayehitaji service anicall 0653-620415. natoa bima ikitokea document ikapotelea ndani ya mikono yetu unataja value yake unarudishiwa.
  15. K

    Unaletewa parcel na document yoyote mpaka ulipo kwa sh 5000

    kama unahitaji mtu wa kukuletea document au parcel kwa bei ndogo piga simu no 0653620415,,,kwa mawakili na wanasheria pia unaweza kutupa document confidential ikafika sehemu husika ,, tuna bima ikitokea document imepotea ndani ya mikono yetu,, unataja value yak e una- be reimbursed.
Back
Top Bottom