kinachouma zaidi siyo yeye kuliwa, bali kusakiziwa na kulea matoto ambayo siyo yako, lakini msemo wako kuoa mfanyakazi hiyo ni balaa na nusu,
hakuna taasisi yoyote ambayo hawakulani, swali ni je hakuna wake za watu humo, tafakari chukua hatua
Mkuu hapa Nairobi maisha ni ghali sana, japo kwa hapa ni 1ksh = 23.9 Tsh, Tusker na Balozi ni 8500 yaani 350, mashenzini bei ya mwisho 230ksh, imported 500ksh, mwaka juzi niliwahi kupita hapa 1ksh = 16Tsh, sasa sijui ni uchumi wetu ndiyo unakua
lakini nikuthibitishie, mtanzania mlevi wa bia tu...
mimi niwe mkuu wa mkoa wa Mara, Barrick-Nyamongo hawa hapa, nitafute namba ya GM(Apollo), niwe naenda ku-visit kila weekend napewa bahasha, bado mikwara mbuzi, niongezewe bahasha, halafu nikalime wakati pesa nilikua nadownload , weeee thubutu
Leo hapo Geita tu, kuna watu wamepata mtaji wa kula...
Nendeni tu baadhi ya balozi za nchi ya kusadikika muone namna hata officers wa kawaida wanavyokunja dolari na wamekaa wanazungusha viti tu maofisini. Mfano, unajua yule binti mrembo wa Geneva analipwa ngapi..?, na wengine wengi tu
Hiyo hela inakua kubwa ukilinganisha na mishahara na maisha ya...
Karibu Accra, niko hapa Osu nakula upepo, baade nirudi hapo mitaa ya Spintex.
unashangaa hapa Accra wakati hapo Nairobi jirani na home mambo ni live live, nikirudi mitaa ya KaNairo nitakutumia video zao hao wasenge, ni vile tu we should learn to live with different ethnic groups lakini hao...
mkuu hoja yako ni ya msingi, kukukumbusha tu hili suala halijaanza leo wala jana, kuna wakati kulikua mpaka na mkono wa CDF mmoja hivi, lakini usijali suala hili halitakua na mwisho mwema. Tamaa ya pesa haiwezi kutufanya kama taifa tukakengeuka, kama ni madini hatujaanza kuchimba leo.
Nasubiri atakayemsimulia yule bubu mwingine wa Mwanza, enzi hizo nimeenda kikazi huko nikaenda kiwanja sijui kinaitwa Diamond na mshikaji, zimekolea nikabeba bubu kwa ushauri wa mshikaji wangu, yeye akabeba mwenzake na bubu ila siyo bubu, weeh, Whiskey ile na moto niliompelekea bubu nilishtushwa...
Nimepata taarifa kutoka kwa madogo ninaowaamini kua pale wizara ya Afya wale watu wanaohusika kuwalipa wanafunzi waliopata ufadhili wa mama Samia kusoma nje ya nchi wanawalaghai wanafunzi hao.
Mchezo uko hivi, kwanza inaonekana toka wanafunzi hao wajiunge na masomo yao mwaka jana mpaka sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.