Mi Pia Mwakasege nimemfahamu kitambo sana. Hana kanisa na sijawahi ona utapeli wake. Ila kuna watu wanabwatuka tu kutaja hovyo majina y’a watumishi wa Mungu
Hiyo hoja y’a kwanza kama nikisema muda ambao haupo kwenye machaguo yake nakua nimeshinda mimi ama?
Nakubaliana na hoja y’a pili. Nadhani unaongelea ile kutomjibu mtu/watu. Mfano kuna mtu alidai anaweza kujaza mtungi wa gesi kwa kuupuliza, sasa reactions Za watu zikawa kali, alitakiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.