Recent content by kamikaze

  1. K

    Kuna degree za online accredited Marekani ni bure kabisa usikae kizembe

    Anha Basi wacha niende kwanza upande wa scholarship. Na Pia, ume apply bachelor Au masters mkuu
  2. K

    Kuna degree za online accredited Marekani ni bure kabisa usikae kizembe

    Unamaanisha Cz zote za masters Za hichi chuo ni Za education? Na degree Ndo Hiyo 4 yrs si Ndio
  3. K

    Kuna degree za online accredited Marekani ni bure kabisa usikae kizembe

    Mkuu Mbona wengine inagoma. Umefanyaje ikakubali
  4. K

    Kuna degree za online accredited Marekani ni bure kabisa usikae kizembe

    Sijaelewa hapo mkuu. Kwamba kuna kozi siruhusiwi kusoma hapa Tanzania? Na nitazijuaje sasa Hizo ambazo sio Za kusoma
  5. K

    Muujiza wa Tony Kapola: Je aliombea mtungi mkubwa au mdogo?

    Kwa Hiyo baada y’a wiki mbili wakapata akili ya kununua gesi hawakuendelea na kupuliza ama
  6. K

    Huyu Tony Kapola amekuwaje?

    Uko sahihi kbs mkuu
  7. K

    Huyu Tony Kapola amekuwaje?

    Mi Pia Mwakasege nimemfahamu kitambo sana. Hana kanisa na sijawahi ona utapeli wake. Ila kuna watu wanabwatuka tu kutaja hovyo majina y’a watumishi wa Mungu
  8. K

    Mbinu 5 Za Kisaikolojia Zilizokatazwa – Lakini Zinafanya Kazi Kama Uchawi

    Hiyo hoja y’a kwanza kama nikisema muda ambao haupo kwenye machaguo yake nakua nimeshinda mimi ama? Nakubaliana na hoja y’a pili. Nadhani unaongelea ile kutomjibu mtu/watu. Mfano kuna mtu alidai anaweza kujaza mtungi wa gesi kwa kuupuliza, sasa reactions Za watu zikawa kali, alitakiwa...
  9. K

    Pastor Tony Kapola awajibu waliobeza muujiza wa kupuliza gesi: Naonekana nadhalilishwa

    Hapo aliposema watu wanajiuza Ndio wapate gesi aliniudhi kupindukia Sijui nielezeje
  10. K

    KERO Kuna kelele katika Msikiti wa Kunduchi Beach

    Alikua anatukana kbs shenzi?😂
  11. K

    Huyu Tony Kapola amekuwaje?

    Alikutapeli nini Mwakasege?
  12. K

    Huyu Tony Kapola amekuwaje?

    Mimi tangu 2002. Baba wa watu hajawahi kuwa na shida na mtu
  13. K

    Huyu Tony Kapola amekuwaje?

    Aliekwambia Mwakasege ana kanisa nani? Hebu nioneshe hilo kanisa lilipo😂😂😂
  14. K

    Huyu Tony Kapola amekuwaje?

    Si Ndio nashangaa. Watu wanapenda kuropoka tu
Back
Top Bottom