Nina Mtu ninayeweza kumuita ni rafiki yangu, lakini natamani kwa sasa hata kupunguza urafiki naye kwani ni kama anakua kero. Yeye ana mtoto japo hana ndoa, mimi sina mtoto wala ndoa pia.
Tunafanya kazi yenye kipato cha kati, mimi nimeridhika na hali yangu kiuchumi kwa kweli. Na ninajitosheleza...
Dah yani TRa wanazingua. Na km nafasi ni chache basi wasingeweka hilo tangazo la database. Maana tulisha let go sasa wameamsha hopes zetu. Na ndio wanafanya vitu kimya kimya. Bora hata walitoe lile tangazo kwenye portal tujue mchakato umeisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.