Nikiwa mwanachama mtiifu kwa chama changu nasikitishwa na hali inayoendelea kwenye uongozi waà chama changu jimbo la Segerea.
CHADEMA jumbo la Segerea kuna ugomvi mkubwa sana kati ya mwenyekiti kidela na Katibu Anatropia.
Na kama uongozi wa kanda hautalishughulikia mapema kuna hatari kubwa ya...
kwajinsi Jeshi letu la polisi linavyovurunda mimi ningemshauri jk alivunje liundwe lingine maana sasa hv huwezi kutofautisha kati ya poli na jambazi maana wote ni wezi,wapiga dili na pia wanavaa sare za aina moja....hii ndio bongo bwana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.