Recent content by KAMCHIMBE23

  1. K

    Kigogo TCAA ang'ang'ania Ofisi

    Mr. Manongi anatakiwa ajue kila chenye mwanzo hakikosi mwisho, mwisho wako umefika unang'ang'ania kitu gani? unatembea mikoani na gali la serikali uoni aibu ? Mwenzako alostaff bwana DSR umetuma watu wakachue vitambulisho na baadhi ya vitu vya ofisi, nafasi yako ni Mkataba na sio mwajiliwa wa...
  2. K

    Waziri Dr. Mwakyembe huyu ndio mkurugenzi wako

    Mwanzoni nilikuwa nafikiria wengi wa watumishi katika Mamlaka ya Usafiri wa Anga wanamuonea huyu Mkurugenzi wetu Mkuu Bwana Fadhili Josia Manongi kwa kusema hajui kazi na anaendesha mamlaka kwa majungu. Sasa nimeamini hilo kwa matukio yafuatayo; 1. Amekuwa akifanya kazi kwa majungu ambayo...
  3. K

    Jambo

    Hamjambo wa ndugu
Back
Top Bottom