Recent content by KAMBONA

  1. KAMBONA

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi wa urais UDSM, vitimbwi vyatawala

    wahenga walisema Vita ya kunguru furaha ya panzi.leo ilikuwa siku inayosubiliwa kwa hamu na kila mtu udsm,wengine waliyatalajia yaliyotoke kwa kuzingatia uchaguzi uliotanguria (CASS) wakati wajumbe wa tume ya uchaguzi walipoamua kumbadilisha mgombea wa nafasi ya uenyekiti akagombee ubunge nawa...
  2. KAMBONA

    JamiiForums Tanzania Lowassa atia fitina uchaguzi DARUSO (UDSM)

    lowasa amezihirisha yeye pekee ndio mtu mwenye nguvu kubwa kuliko wote ndani ya chama cha mapinduzi,hii inzidi kujiziirisha baada ya kila mchezo wa fitina anao shiriki kushinda kwa hasirimia zaidi ya 60%,tumeshuhudia kwenye kamati mbalil mbali za bunge,uteuzi wa mabalozi wa nchi.na sasa ameamua...
  3. KAMBONA

    JamiiForums Tanzania Ni Ubaya Wa Lowassa Au Udhaifu Wa JK?

    Mh lowasa alishaeleza sababu za yeye kujiuzuru na kuitwa FISADI,kuwa ni uraisi 2015,kila mtu hilo analielewa .lowasa leo jioni akihojiwa na bbc amethibitisha bado ana nia thabiti ya kuwaongoza watanzaniaa katika kipindi hiki kigumu na kuwakwamua katika maisha magumu.aliongeza ni haki yake...
Back
Top Bottom