Watanzania tuzidi Sana kumuombea Mheshimiwa Rais Magufuli,! Tamko lake la kuiomba Idara ya Mahakama kwamba Kesi zote , na kwa ngazi zote za Mahakama ziendeshwe kwa lugha ya Kiswahili na Hukumu kuandikwa Kiswahili , Watanzania tumuunge mkono Mheshimiwa Magufuli na kumpongeza Sana !
Naomba mawazo yenu.
Wakati joto likizidi kupanda kwamba ni Mbunge gani ataukwaa Uwaziri baada ya uteuzi uliofanywa Jana na Rais Magufuli kwa kumteua Hamfrey Polepole na hivyo kuongeza joto na pressure zaidi ya Baraza la Mawaziri, hebu tutupitie jicho nafasi aliyokuwa akiishikilia Polepole...
Kwa mtazamo wangu, natabiri Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli atamteua David Kafulila kuchukua nafasi ya Bw Hamfrey Polepole ya Katibu wa Itikadi na Uenezi Taifa. Na ndivyo itakavyokuwa muda si mrefu kutokea sasa! Ni Kafulila tu...
Lazima Chama kimuondoe haraka Sana Halima !!! Usaliti huu ni mkubwa Sana kwa Watanzania !!!! CHADEMA sio Chama cha Mchezo mchezo tu ! Ni Taasisi kubwa Sana iliyobeba mioyo ya Watanzania .
Pole Sana Kamanda ! BWANA akutie Nguvu Ndugu yangu . Nafahamu , tupo mwisho mwisho kabisa wa dunia ! Yeye ajaye Kristo Yesu yupo Karibu Sana ! Na ndio itakuwa mwisho wa mateso na manyanyaso yote hapa duniani !
Ndugu zangu Watanzania, Jana Tanzania kwa mara nyingine tena tumeshtushwa Sana kushuhudia tukio la ghafla Sana ambalo hatukulitarajia kuwa lingetokea na hususani kwa wakati kama huu ambao bado wapo kwenye tafakuri kwa kilichotokea Oktoba 28 !!! Tukiwa bado kabisa hatuamini kilichotokea Oktoba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.