Nimeumia sana na jinsi hali ya kisiasa inavyoendelea hapa nchini

Nimeumia sana na jinsi hali ya kisiasa inavyoendelea hapa nchini.
Nimeumia zaidi kuona viongozi wa dini wanavyosifia serikali hii iliyojaa kila aina ya dhambi na kuacha kukemea mauaji, ukabila na uchama unaoshamili nchini.

Nimeumia sana kuona wasomi wenye elimu ya juu ambao wamesomeshwa kwa kodi za wauza uji na wauza karanga Tsh. 20,000 kwa mwaka na kodi mbalimbali wakisimama kutetea matumbo yao na kuacha haki ikiminywa.

Inaniuma sana kuona katiba ya jamhuri ikikanyangwa na wachache walioshika madaraka ya nchi hii kwa kuiba kura.

Naumia sana kuona jinsi gani nchi hii imekua ni nchi ya kufahamiana yaani kama hujulikani hauli matunda ya nchi yako.

Naumia sana kuona mapato ya serikali yanatumika vibaya kwa miradi isiyokuwa na tija kwa taifa iliyojaa dhuluma na upigaji wa hali ya juu.

WITO: Vijana tuna nguvu hii nchi ni yetu wote. Tupiganie nchi yetu tuliyopewa na Mungu.

Tuachane na hizi dini za kipuuzi zinazoshabikia uvunjifu wa haki. Tusiwape hela zetu kwa kisingizio cha sadaka. Ukitaka kutoa sadaka nenda kwa yatima na wajane ambao wametapakaa kila mahali.

The Gang of Three wamehodhi madaraka yote ya kuendesha nchi hii kiasi ambacho katiba haipewi umuhimu tena. Wanachotamka wao ndio katiba na sheria. Sijui Watanzania wote zaidi ya milioni sitini tumepatwa na nini mpaka watu watatu tu wanatupeleka puta!
 
Kama nchi hii laiti ingebahatika kuwapata viongozi wazuri, viongozi wapenda haki, viongozi wenye upendo na utu, viongozi wanaomjua Mungu wa kweli, kila mwanadamu angependa kuishi Tanzania.

Leo Watanzania wanahangaika na kutafuta kwenda mataifa mengine ambayo Mungu hakuyajalie hata 10% ya kilichopo Tanzania. Wema wa Mungu kwa Watanzania umefutwa na watawala wenye roho ya shetani.
 
Mbona haukuumizwa na wale waliotafuna michango ya wabunge waliochangishwa kwa muda wa miaka 5, pia haukuumizwa na hao hao waliotafuna michango ya wabunge kuchangisha wananchi maskini ktk mikutano yao ya kampeni na kuitafuna mazima, hapo sijazungumzia ruzuku na misaada mingine kutoka kwa wafadhili wao mbali mbali(hapa namaanisha mabeberu)
Kaumizwa na taifa linavyorejeshwa nyuma kula pesa za mbunge ni issue binafsi sisi twaumizwa na jinsi ya utamaduni wa kusigina katiba unakua ndio MTINDO wa wanasiasa wetu tuliowaamini
 
Nimeumia sana na jinsi hali ya kisiasa inavyoendelea hapa nchini.
Nimeumia zaidi kuona viongozi wa dini wanavyosifia serikali hii iliyojaa kila aina ya dhambi na kuacha kukemea mauaji, ukabila na uchama unaoshamili nchini.

Nimeumia sana kuona wasomi wenye elimu ya juu ambao wamesomeshwa kwa kodi za wauza uji na wauza karanga Tsh. 20,000 kwa mwaka na kodi mbalimbali wakisimama kutetea matumbo yao na kuacha haki ikiminywa.

Inaniuma sana kuona katiba ya jamhuri ikikanyangwa na wachache walioshika madaraka ya nchi hii kwa kuiba kura.

Naumia sana kuona jinsi gani nchi hii imekua ni nchi ya kufahamiana yaani kama hujulikani hauli matunda ya nchi yako.

Naumia sana kuona mapato ya serikali yanatumika vibaya kwa miradi isiyokuwa na tija kwa taifa iliyojaa dhuluma na upigaji wa hali ya juu.

WITO: Vijana tuna nguvu hii nchi ni yetu wote. Tupiganie nchi yetu tuliyopewa na Mungu.

Tuachane na hizi dini za kipuuzi zinazoshabikia uvunjifu wa haki. Tusiwape hela zetu kwa kisingizio cha sadaka. Ukitaka kutoa sadaka nenda kwa yatima na wajane ambao wametapakaa kila mahali.
Ahsante !
 
Havitatokea International community inajitambua siyo nyie leo mnawaita binadamu wenzenu covid19 hamjajitambua bado na mna safari ndefu

Sasa mmechoka kusubiri kesi yenu kule ICC mnataka vikwazo.Nyumbu wa chadema sheeda
Mkuu polepole aliwaita wapinzani sawa na Corona, umesahau?
 
Kama nchi hii laiti ingebahatika kuwapata viongozi wazuri, viongozi wapenda haki, viongozi wenye upendo na utu, viongozi wanaomjua Mungu wa kweli, kila mwanadamu angependa kuishi Tanzania.

Leo Watanzania wanahangaika na kutafuta kwenda mataifa mengine ambayo Mungu hakuyajalie hata 10% ya kilichopo Tanzania. Wema wa Mungu kwa Watanzania umefutwa na watawala wenye roho ya shetani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Papaa wangu huu ndy ukweli
 
Nimecheka kwa nguvu, kilaza katika ubora wako.
Bora uwe kilaza kuliko kulamba miguu ya kiongozi ambaye kwa kila hali hajiheshimu wala haheshimu binadamu wenzake

Huwa najiuliza sipati jibu, hivi ujasiri mnao uonesha humu JF, nyuma ya "keyboard" kulaumu Serikali, unakwenda wapi dhidi ya genge la wanasiasa uchwara? Ila wananchi wametambua hilo na kuliadhibu hilo genge kwenye sanduku la kura. Ukweli utabaki hivyo na hata ikiwekwa Tume ya Uchaguzi, yenye wajumbe wote watakaoteuliwa na hilo genge, bado wapiga kura wataliadhibu.

Hivi huwa hujiulizi kwa nini viongozi wanakihama chama badala ya kupokea? Lowassa, Sumaye na kundi lao walihamia huko na wote wakatoka. Ni Nyarandu tu ndiye kabaki huko mguu ndani mguu nje. Sasa hilo genge linawafukuza wanawake 19 hodari, kisa tu mahawara wao hawamo kwenye hiyo orodha ya Wagombea wa Viti Maalumu. AIBU
 
Bora uwe kilaza kuliko kulamba miguu ya kiongozi ambaye kwa kila hali hajiheshimu wala haheshimu binadamu wenzake

Huwa najiuliza sipati jibu, hivi ujasiri mnao uonesha humu JF, nyuma ya "keyboard" kulaumu Serikali, unakwenda wapi dhidi ya genge la wanasiasa uchwara? Ila wananchi wametambua hilo na kuliadhibu hilo genge kwenye sanduku la kura. Ukweli utabaki hivyo na hata ikiwekwa Tume ya Uchaguzi, yenye wajumbe wote watakaoteuliwa na hilo genge, bado wapiga kura wataliadhibu.

Hivi huwa hujiulizi kwa nini viongozi wanakihama chama badala ya kupokea? Lowassa, Sumaye na kundi lao walihamia huko na wote wakatoka. Ni Nyarandu tu ndiye kabaki huko mguu ndani mguu nje. Sasa hilo genge linawafukuza wanawake 19 hodari, kisa tu mahawara wao hawamo kwenye hiyo orodha ya Wagombea wa Viti Maalumu. AIBU

Nasema hivi, kilaza katika ubora wako. Na kama ni uchaguzi ule haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi katika box la kura. Kuhusu viongozi kuhama hasa hao uliowataja, ni salama zaidi wao kurudi ccm kwasababu ya mali walizochuma ni za utata mtupu. Kwenye nchi za madictator, ukitaka kubaki salama ni kuwafuata na kuwasujudia, maana hata wahamaji hawasemi wanafuata itikadi, bali iitwayo kasi ya mtu.
 
Nimeumia sana na jinsi hali ya kisiasa inavyoendelea hapa nchini.
Nimeumia zaidi kuona viongozi wa dini wanavyosifia serikali hii iliyojaa kila aina ya dhambi na kuacha kukemea mauaji, ukabila na uchama unaoshamili nchini.

Nimeumia sana kuona wasomi wenye elimu ya juu ambao wamesomeshwa kwa kodi za wauza uji na wauza karanga Tsh. 20,000 kwa mwaka na kodi mbalimbali wakisimama kutetea matumbo yao na kuacha haki ikiminywa.

Inaniuma sana kuona katiba ya jamhuri ikikanyangwa na wachache walioshika madaraka ya nchi hii kwa kuiba kura.

Naumia sana kuona jinsi gani nchi hii imekua ni nchi ya kufahamiana yaani kama hujulikani hauli matunda ya nchi yako.

Naumia sana kuona mapato ya serikali yanatumika vibaya kwa miradi isiyokuwa na tija kwa taifa iliyojaa dhuluma na upigaji wa hali ya juu.

WITO: Vijana tuna nguvu hii nchi ni yetu wote. Tupiganie nchi yetu tuliyopewa na Mungu.

Tuachane na hizi dini za kipuuzi zinazoshabikia uvunjifu wa haki. Tusiwape hela zetu kwa kisingizio cha sadaka. Ukitaka kutoa sadaka nenda kwa yatima na wajane ambao wametapakaa kila mahali.
Mkuu tatizo ni wale waganga 900 Wa ccm kutoka geita,nchi imetulia kama hakuna kilichotokea.
 
Back
Top Bottom