Rais Kikwete aache kuwafanya Watanzania wote kuwa Wajinga, jana kwenye Hotuba yake amesema mjadala wa Katiba mpya ni haki ya raia wote wakati huohuo yeye na Chama chake (CCM) tayari wameshatengeneza aina ya muswada wa Constitutional Review na ni vipengele gani havipaswi kujadiliwa na wananchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.