Wajuzi hebu mje kama mnajua lolote kuhusu hilo.
Inasemekana kuna wachezaji watatu akiwemo Mwamnyeto walihongwa na Karia ili Yanga ifungwe katika ile mechi. Habari zilivuja na kumfikia Haji, ikawa ndiyo chanzo cha ugomvi na patashika pale jukwaani iliyopekea Haji kufungiwa.
Wakongwe hili likoje?
KWANINI ZIMEKUWA NDOANO?
KWANINI HAZIDUMU?
Ukisoma maandiko ktk Biblia utaona kuwa ndoa zilifungwa katika jamii hiyohiyo.
Mfano Yakobo alienda oa kwa mjombae.
Angano la kale Mungu aliwaangiza waisrael wasiwatoe binti zao kuolewa na makabila nje ya Israel au vijana wao kuoa nje ya Israel...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.