Recent content by Kamawewe

  1. Kamawewe

    Kampuni ya Mabasi ya Kiluwa imekatisha tickets abiria ikiahidi kwenda Lushoto saa 12 jioni lakini hadi muda huu halijaanza safari

    Habari Wana JF na mamlaka husika Kampuni ya mabasi ya Kiluwa kupitia basi namba T546 DXH Leo tarehe 4 May 2025 imekatisha tickets abiria ikiahidi kwenda Lushoto saa kumi na mbili jioni lakini hadi hii saa moja na nusu halijaanza safari na kusababisha vurugu kutokana na abiria kuchoka kusubiri...
  2. Kamawewe

    Ukisikia kujilipua ndio huku. Milioni 60 hisa za CRDB, liwalo na liwe

    Mkuu mimi ninanua hisa kupitia DSE kijanjani app lakini mara nyingi app inazingua, hii changamoto ni yangu tuu au app ina shida
  3. Kamawewe

    Natafuta fursa ya ajira, kazi au part time job

    Kwenye insurance kuna fursa za biashara ndogo?
  4. Kamawewe

    NAOMBA kujua namba ya kujiunga UTTAMIS kuwekeza

    Google website ya UTT Amis angalia namba yao ya simu watakuelekeza, ukiwa na AI ndio rahisi zaidi
  5. Kamawewe

    Kuna office nimeitembelea leo,office nzima mpaka mkurugenzi hawajui kuongea Kiingereza

    Kwanini usishangae hao wageni wako kutokujua Kiswahili lugha ya Tanzania
  6. Kamawewe

    Shukurani kwa hili jukwaa limenifanya leo hii naanza kuheshimika kwa watu wangu wa karibu

    Kama ni kweli umefanikiwa kwenda nje ninakushauri hicho unachopata usiache kuwekeza kwenye treasury bonds, shares za makampuni na Mutual funds kama UTT AMIS. Nimekushauri hivyo kwa sababu kuna watu hukaa nje miaka mingi na kurudi wakiwa bado maskini sana sana wanarudi na stori kuwa ulaya au...
  7. Kamawewe

    Biashara ipi rahisi kuiendesha hata ukiwa mbali?

    Ukiwa na mawazo na mikakati mizuri unaweza kutumia mitaji ya watu wengine
  8. Kamawewe

    Biashara ipi rahisi kuiendesha hata ukiwa mbali?

    Wekeza kwenye bond za serikali au UTT. Kama una kiwanja sehemu inayopangishika unaweza jenga vi apartments vidogo viwili. Kama unataka kufanya biashara deal na vitu vinavyohesabika kwa urahisi pia ujitahidi kutumia CCTV camera na upate daily report kwa whatsapp na Mara chache ufanye stock taking
  9. Kamawewe

    Natafuta kazi (kibarua)

    Inashangaza zaidi ata post zake nyingine za mwaka huu huu anajitambulisha kuwa ana elimu ya form four,inaelekea amesoma real estate Management ila hakuelewa au haipendi hiyo profession.
  10. Kamawewe

    Natafuta kazi (kibarua)

    Habari una maana gani uliposema hiki kisiwe kigezo cha kupewa kazi
  11. Kamawewe

    Mambo gani muhimu ya kuzingatia katika ujenzi wa Hoteli kubwa ya nyota Tano( FiveStars Hotel)?

    Mkuu tafuta mtaalam mzoefu pia download AI uliza maswali yako itakujibu kila kitu
  12. Kamawewe

    Jiji la Arusha lamkana Mfanyabiashara Chambulo wadai 'amepotosha'

    Kodi yaani tax inalipwa TRA tuu hiyo inayolipwa Halmashauri sio tax ni service levy. Hii Service levy halmaushi wanatakuwa kulipwa si zaidi ya 0.3 asilimia ya mauzo. Kwa upande wa tax kampuni inatakiwa kulipa asilimia 30 ya faida kama kodi kwenda TRA na kodi nyingine za zuio kama PAYE na kodi...
  13. Kamawewe

    Matumizi ya "CPA" kwenye initial za majina ni sahihi?

    CPAs wasiotumia initial ya CPA ni wengi kuliko CPAs wanaotumia initial ya CPA. CPA ni certification inayotambulisha watu wanaoruhusiwa kufunga mahesabu, kusimamia idara za uhasibu au kufanya ukaguzi wa mahesabu kisheria. Hivyo wakitumia si jambo baya tuwatambue na kuwatumia kwa urahisi Ugumu...
  14. Kamawewe

    Tume ya Madini, tuambieni CPA ni nini kwenye initial za majina ya watumishi wenu

    Hao ni watu waliothibitishwa kusomea kiwango cha juu kabisa cha taaluma ya uhasibu na ukaguzi wa mahesabu yaani Certified Public Account. Kwa sheria za tanzania ni lazima uwe na CPA au related qualification kana ACCA ili kusimamia kitengo cha uhasibu au fedha au kufunga hesabu za mwaka za...
  15. Kamawewe

    Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    Hello kama unaweza E filling za tax kwanini usijiajiri kama tax consultant? Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom