Pia mkuu Masterchief ninakushukuru saana kwa uzi making.
Nina mdogo wangu anamaliza chuo mwaka huu ninamtumia link ya huu uzi asome kila kitu then nitampa pesa kidogo aagize ninchotaka ili ajifunze baadae tuifanye kuwa fursa
Kodi yaani tax inalipwa TRA tuu hiyo inayolipwa Halmashauri sio tax ni service levy.
Hii Service levy halmaushi wanatakuwa kulipwa si zaidi ya 0.3 asilimia ya mauzo.
Kwa upande wa tax kampuni inatakiwa kulipa asilimia 30 ya faida kama kodi kwenda TRA na kodi nyingine za zuio kama PAYE na kodi...
CPAs wasiotumia initial ya CPA ni wengi kuliko CPAs wanaotumia initial ya CPA.
CPA ni certification inayotambulisha watu wanaoruhusiwa kufunga mahesabu, kusimamia idara za uhasibu au kufanya ukaguzi wa mahesabu kisheria.
Hivyo wakitumia si jambo baya tuwatambue na kuwatumia kwa urahisi
Ugumu...
Hao ni watu waliothibitishwa kusomea kiwango cha juu kabisa cha taaluma ya uhasibu na ukaguzi wa mahesabu yaani Certified Public Account.
Kwa sheria za tanzania ni lazima uwe na CPA au related qualification kana ACCA ili kusimamia kitengo cha uhasibu au fedha au kufunga hesabu za mwaka za...
Mkuu nenda Kisemvule Mkuranga kuna viwanda vya viroba utapata kwa bei rahisi
Pia jifunze kutumia artificial inteligence unaweza kuiuliza maswali kama haya na ikakupa list ya suppliers na mahali walipo na contact zao
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Wakuu tujifunze kutumia mamlaka zinazosimamia, kwa mfano hapo ni kuandika email nzuri ya malalamiko yenye ushahidi ns kutuma TCRA na BOT utaona wenyewe watakutafuta na pesa wafakurudishia
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Wazo Zuri ili ufanikiwe tafuta mtu anayefanya hiyo biashara omba awe mentor wako ila wewe uwe mbali na wateja wake
Ukipata muda tembea kwenye masoko ta nafaka kama manzese
Habari wakuu anahitajika mtu wa mauzo anayeweza kuendesha guta mpya kabisa na piki piki wa kutafuta wateja na kusambaza bidhaa za vyakula ikiwemo brand ya unga wa sembe inayojulikana Mtwara (gas city) na iliyo kwenye soko kwa zaidi ya miaka saba.
Sifa
i. Awe na leseni ya kuendesha guta na piki...
Kwenye biashara ndogo za mtaji kama wako lazima wewe mwenyewe uhusike na kupata stress ni kawaida hata hivyo biashara zenye minimum supervision ambazo hazitakulazimu kuwepo muda mwingi ni zile za vitu ambavyo ni rahisi kuhesabika kama duka la cement n.k lakini ni muhimu kupata location nzuri...
Wakati wanahisa wa Vodacom wakilalamika kutopata gawio, Management ya Vodacom kila mwaka wanatoa mabilioni ya msaada kweli ukistaajabu ya firauni utayaona ya Vodacom Tanzania. Mwaka huu wametangaza kutoa gawio mwezi wa kumi lakini gawio lenyewe ni sawa na bure. Biashara ya hisa kwa bongo hailipi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.