Recent content by kamati yamaamuzi magumuu

  1. kamati yamaamuzi magumuu

    Mabinti wa kisasa hebu acheni uongo usio na maana

    [emoji28][emoji28][emoji28] Kuwa mjanja au utulie dawa ikuuingie Wanawake hawa Ni tabu saivi
  2. kamati yamaamuzi magumuu

    Ugonjwa wa homa ya matumbo (Typhoid) na tiba mbadala

    Mkuu kaongea kamaliza hapa[emoji120].... Tumia Maji masafi (yaliiochemshwa) kuanzia kunywa, kunawa mdomo, pia wakati wa kuoga usibugie/ au kutia maji mdomoni yalio machafu!!!!! Mimi nilishakua muhanga wa hili tatizo aisee!!!! Kinga zetu zishakuwa dhaifu juu ya kukabiliana na ugonjwa wa...
  3. kamati yamaamuzi magumuu

    Naomba muongozo wa matumizi ya dawa za jamii ya viagra

    Ni PM nikusaidie Inshu simple saana hiyo..... Panapo majaliwa ya Allah unapona kabisa[emoji120]
  4. kamati yamaamuzi magumuu

    Mpenzi wangu kanipa ultimatum kuwa nisipomuoa mwaka huu, atachukua maamuzi magumu

    [emoji16] umegusa mzizi mkubwa saana wa ndoa tulizonazo kwasasa nanyingi zinasua sua saana!! Vijana tujichekeche saana , Ndoa zinakuwa ngumu kutokana na sababu kuu Kama hizi zilizopelekea kufunga Ndoa!!!! #Umetoa points hizi kama ulikua kwenye brain yangu[emoji120][emoji120]
  5. kamati yamaamuzi magumuu

    Je, ni lazima kumgaramia mpenzi wako wa kike kwa kila kitu mnapokua katika hatua ya urafiki na uchumba?

    Ngoja namimi nichangie kwa mtazamo wangu [emoji116][emoji116] Kwanza unapoamua kuingia kwenye mapenzi ingia na akili zako timamu, tena kama Ni mchumba au hajawa mke kamili ila anakupa Huduma zote ambazo mke ndie aliepaswa akupe mfano Pango la mji (Mbususu), Kukupikia, kukufulia Na Huduma...
  6. kamati yamaamuzi magumuu

    Usimwamini Mwanamke, hata mama zetu wanaweza kutudanganya kuhusu Baba zetu halali

    [emoji3526][emoji3526] napenda kwanza nisijisifie , Show mbovu labda niwe naumwa ...kiuhalisia tu Show nilikua siifanyii utani Maana ndio Uanaume katika ndoa Unapoanzia ili kuleta heshima baina yenu, kwenye Show sikua mzembe pliz[emoji120]
  7. kamati yamaamuzi magumuu

    Usimwamini Mwanamke, hata mama zetu wanaweza kutudanganya kuhusu Baba zetu halali

    Seriously!!! Siwezi Rudiana nae hata akitaka kuja rudi, kwanza kila nikikumbuka yale Maneno ya mwishoni mwishoni mwili huwa unanisisimka natamani hata angekua jirani nimpatie vibao vya afya inshort alinizaririsha saana aisee
  8. kamati yamaamuzi magumuu

    Usimwamini Mwanamke, hata mama zetu wanaweza kutudanganya kuhusu Baba zetu halali

    Mzee hawa beki zinakua hazikabi aisee wengi wao makabila ya kanda ya kati
  9. kamati yamaamuzi magumuu

    Usimwamini Mwanamke, hata mama zetu wanaweza kutudanganya kuhusu Baba zetu halali

    [emoji16][emoji16]ile siku anaondoka alipaka hapo Maneno magumu kidogo Mpaka busara ilitaka kutoweka, na Nilikaa kwa aibu saana mtaani kwangu na kijijini kwa ujumla kwa muda saana mpaka hali ile kuja kutoweka..... Nilikoma
  10. kamati yamaamuzi magumuu

    Usimwamini Mwanamke, hata mama zetu wanaweza kutudanganya kuhusu Baba zetu halali

    [emoji848][emoji848][emoji848] ... Nachukua hii point kaka [emoji120][emoji120] nimekuelewa saana!
  11. kamati yamaamuzi magumuu

    Usimwamini Mwanamke, hata mama zetu wanaweza kutudanganya kuhusu Baba zetu halali

    [emoji16] umegusa penyewe, kila siku nikikaangalia Huwa najisemea moyoni " kuwa na tabiaa za mama yako nikupe Kitu inayoweza vunja miguu na shingo yako"[emoji16] I short nitakaua haka katoto heri nikafie jela
  12. kamati yamaamuzi magumuu

    Usimwamini Mwanamke, hata mama zetu wanaweza kutudanganya kuhusu Baba zetu halali

    Huyu alikua ni panzi asie nakichwa kabisaa[emoji16], maana hata angekua na kichwa angejiongeza Baadhi ya vitu Vya kusimamisha Misingi ya Ndoa na familia
  13. kamati yamaamuzi magumuu

    Usimwamini Mwanamke, hata mama zetu wanaweza kutudanganya kuhusu Baba zetu halali

    Wahaya kwakweli sina Taarifa zako zaundani, lakini huwa nasikia wengi wao beki hazikabi Kiwango Cha stigrazi Goji [emoji16]
Back
Top Bottom