Recent content by kamati ya ufundi

  1. kamati ya ufundi

    JamiiForums Tanzania Kinana: Tamasha la Kizimkazi chachu ya kuimarisha muungano

    Tamasha hili kwa mwaka huu limewavuta Watanzania wengi kutoka nje ya Zanzibar kushiriki, na siku zijazo wengi zaidi watamiminika Kizimkazi siyo tu kujionea bali kushiriki vilivyo kwenye tamasha adhimu kama hili.
  2. kamati ya ufundi

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Mbarawa azungumza kuhusu uwekezaji wa Bandari

    Iwekezaji bandari ya Dar es salaam muhimu sana kwa maendeleo ya nchi yetu.
  3. kamati ya ufundi

    JamiiForums Tanzania Rais Dkt Samia Alivyomfuta Machozi Mjane Aliyesaka Haki Yake Kwa Miaka 14

    Hii kampeni imeleta matokeo chanya sana kwa wananchi kwa kuhakikisha waliodhulumiwa stahiki zao za ardhi zinapatikana kwa wakati. Tumpe maua yake mama
  4. kamati ya ufundi

    JamiiForums Tanzania Rais Dkt Samia Alivyomfuta Machozi Mjane Aliyesaka Haki Yake Kwa Miaka 14

    Hakika mama anajali shida za wananchi ,kwa kitendo cha kutatua mgogoro uliyo dumu kwa miaka yote hiyo ...Rais Samia anastaili kupewa maua yake.
  5. kamati ya ufundi

    JamiiForums Tanzania Naibu Spika Zungu atumiwa kumlinda Sheikh Ally Mmanga-Imamu msikiti wa Madina

    Naibu Spika Zungu atumiwa kumlinda Sheikh Ally Mmanga Imamu Msikiti wa Madina Na Mwandishi Wetu NAIBU Spika, Mussa Zungu, ambaye Mbunge wa Ilala ameanza kutumiwa na Imam wa Msikiti wa Madina, Sheikh Ally Mohammed Alidina, ambaye pia anajulikana kwa jina la Ally Mmanga ambaye ni msomaji...
  6. kamati ya ufundi

    JamiiForums Tanzania Naibu Spika Zungu atumiwa kumlinda Sheikh Ally Mmanga-Imamu msikiti wa Madina

    Na Mwandishi Wetu NAIBU Spika, Mussa Zungu, ambaye Mbunge wa Ilala ameanza kutumiwa na Imam wa Msikiti wa Madina, Sheikh Ally Mohammed Alidina, ambaye pia anajulikana kwa jina la Ally Mmanga ambaye ni msomaji maarufu wa milango maulidini ili kumeteta katika kesi ya kugushi wosia na kuuza nyumba...
  7. kamati ya ufundi

    JamiiForums Tanzania Wasifu kwa minajili ya kutunuku Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Fasihi kwa Rais Samia Suluhu

    Mama anaupiga mwingi sana mama anastaili kwa heshima hiyo ya udaktari wa heshima.
  8. kamati ya ufundi

    JamiiForums Tanzania Kutekwa kwa Mohammed Dewji: Ni uharamia wa kimataifa?

    Kama waliomteka MO ni wazungu kweli basi hili sakata linatupeleka kwenye mashirika ya kujasusi (c.I.a,mossad na wengineo)pengine wanahitaji ushahidi fulani au wanataka kujua pesa zake zinatumika kusaidia vikundi vya kigaidi?
  9. kamati ya ufundi

    JamiiForums Tanzania Kutekwa kwa Mohammed Dewji: Ni uharamia wa kimataifa?

    Hatari sana, tumuombe kwa mwenyezi mungu majangiri hawa wasije kumzuru bure kupoteza ushaidi.
  10. kamati ya ufundi

    JamiiForums Tanzania Dar: Flyover ya Mfugale yazinduliwa. Chang'ombe na Gerezani kujengwa flyover, Barabara njia 8 kujengwa Kimara hadi Kibaha

    Anastaili pongezi mhe. Mfugale na rais wetu mpendwa Dr.John Pombe Magufuli
  11. kamati ya ufundi

    JamiiForums Tanzania Kuelekea miaka mitatu ya Rais Magufuli: Mafanikio ya bandari yaleta matumaini

    kuongezeka kwa mapato na shehena zinazohudumiwa na bandari za Mamlaka ni matokeo ya kufanya maboresho katika sehemu kuu tano pamoja na kuwa na malengo mara mbili ya mafanikio yaliyokuwepo.
  12. kamati ya ufundi

    JamiiForums Tanzania Kuelekea miaka mitatu ya Rais Magufuli: Mafanikio ya bandari yaleta matumaini

    kila la kheri mhe.magufuli ,rais wetu mpendwa kwa kiukweli unafanya kazi nzuri na inaonekana kwa taifa.hatuna budi kumuunga mkono kwa maendeleo haya tunayo yaona .
  13. kamati ya ufundi

    JamiiForums Tanzania Kuelekea miaka mitatu ya rais Magufuli madarakani, mapinduzi makubwa sekta ya uchukuzi

    serikali ya awamu ya tano imeandika historia kwa kujenga reli yake ya kisasa (SGR) na kuanza ujenzi huo kwa kutumia fedha zake yenyewe.
  14. kamati ya ufundi

    JamiiForums Tanzania Kuelekea miaka mitatu ya rais Magufuli madarakani, mapinduzi makubwa sekta ya uchukuzi

    serikali imefanya mabadiliko makubwa kwa kuanza ujenzi wa meli mpya na kufufua meli zilizokuwa zimesimama kutoa huduma kutokana na kutofanyiwa ukarabati.viva rais magufuli
Back
Top Bottom