Sio kwa watanzania nchi inayoendeshwa kwa matukio . huwezi amini hataongea chochote atakwambia swala liko mahakamani na mahakamani kalenda kibao kesi itaisha baada ya miezi mitatu dogo atafutiwa mashtaka kimya kimya kipindi hicho tushasahau tuko na tukio lingine
Wasalaam , kuna hii simu yangu tajwa hapo juu ilianguka na kufa display nimekiweka tu ndani kwa mda sasa. Nataka kuifufua nimejaribu kupita kkoo bei nimetajiwa 280k mpaka 300k hapo ikijumuisha na ufundi. kwa maoni yangu nimeona ni risk kuitengeneza kwa gharama hio na isirudi kama awali. naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.